ulikuwa unavaa lebo ya bluu au nyekundu?
Haaaaaaaaa kweli lyf nomaaaaaa,Je mdudu yupo?
yes dady/momha ha ha ha ha wewee dogo bhana
mmmh you deserve to be my grandmom/father. 1965?Major General Lupogo...mkuu wa JKT Azaboy class of 1965-1968.
im am sorry id zinachanganya si unajua kila mtu ana comment so siwez jua kama alikua aza boy. Sorry for mistakes sirumeshajua kasoma azaboy halafu unasema shikamoo mama?
Mtoto unahitaji kujitathmini...
Kumbe wewe mwanafunzi?
Concentrate on ur studies, hii JF itakulostisha.
Kuna Jamaa flani Hivi alikuwa mlokole mtu wa morning talk sana anaitwa "Reuben Shilli" yupo wapi Huyo mtu.?
✅Azaboy imebaki jina tu,1997 one 124,two 98 ilikuwa noma,Baada ya hapo ikaanza kurudi nyuma.
Nilikuwa nakuja kupiga twitwi za Lindugani E.L Nililile.
Mkongo........lutwaza....madam Darphy.........mkuu kwayu......baraza kule maabara ya biology........hussein mihogo kule nyuma forest.......beka.....shebby kipandezo......john mbawala.........Dogo tiff.......mbwela.......DMX........simon black.......kimarija........mbuna........man otega......kisamo........and the list goes on.....!Nikikumbuka hadi natamani nirudishe siku nyuma niishi tena ule wakati .......maana .......azania was my home kwakweli.......kumaliza haikuwa rahisi........its me.....azaboy with coded name zifuatazo Samclick.....zinja.......au pantalon.
Huyo jamaa anaitwa IGNAS JOHN MPUNGA nilisoma naye darasa moja form one hadi four Azaboy lebo Nyekundu,
pamoja na kuwa alikuwa anadai kwamba ameokoka lakini ilikuwa dhahiri kwamba ana Pepo la Sifa!! Anaishi Mwanza amefunga ndoa mwaka jana,anafanya kazi kwenye shirika fulani yeye ni Monitoring and Evaluation Specialist!!
He is irritatingly immodest!
Mr Kwayu nimekutana nae juzi maeneo ya Sanene Segerea..kastaafu..aisee tuliongea mengi na mkuu na kukumbusha enzi zile...yuko peace sana the former Headmaster
Nimecheka sana. Jamaa alikuwa kituko cha haja pale Muhimbili. Tulikuwa tunamuita Mchizi Kaboka.
Mama Shija alikoswa Na mabomu ya tambaza walipokuja kulipua lab ya chemistry mwaka 1994 Nilikuwa form 3
Dah! Shela beach, umenikumbusha longi kichizi wangu.