Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Huyu kobe nlikuwa simmaind kabisa na mwandiko wake wa kike, alikuwa anajifanya yuko dk moja mbele kumbe f.ala tu..sku moja masela walimtaitisha K/Koo wakalamba saa yao..safi sana.Kuna maticha hawa:
Matley-Hesabu
FUVU-Hesabu
Matawa-Kiswahili & Geograph
Mgude-Chemistry
Mkongo-Physics
Hivi Tokyo(jina alilipata kwa ajili ya kuvaa suruali za Tokyo) hivi anaitwa nani jina lake halisi na alikua anafundisha somo gani?