Leo na Jana
New Member
- Jun 13, 2013
- 2
- 0
Huu Uzi wa AZania umenikumbusha mbali saaanaaa.KWa wale waliokuwepo pale miaka ya mwanzoni 1990,mnaweza kunijulisha yuko wapi mr mgololo, huyu Jamaa alipewa hili Jina kwa kuwa alikuwa maarufu kwa kuuza karatasi (rough paper) kwa ajili ya kusovia maswali, pia kuna Jamaa alipewa Jina la bingwa,
yuko wapi,manake alikuw na kitu Kama Mguu wa mtoto mdogo,alikuwa anakaa palepale hostel za shule.Muuza mihogo ya kukaanga na juice za ndoo bwana kingo,alikuwa mtu wa kuchomekea,nakumbuka kuna wakati inasemekana alimla sister duu mmoja wa shaban robert alikuwa anakujaga tuition pale AZania kwa Mwalimu matrei.
yule mwalimu wa fine Arts mr mrope bado yupo Azania?
pia kuna Jamaa alikuwa anaitwa panga la Shaba tokana na mdomo wake ulivyokuwa Kama kikatuni cha panga la shaba, Cheka na nipashe name yuu wapi.
kwa wale waliomaliza 4 1993, kulikuwa na vichwa viwili matata kwa kupasua manyanga,Kimoja group A na kingine group B, wote walikuwa wanaitwa salvatory,wako wapi hawa Jamaa.
vilevile azaboy haikuwa nyuma sana kimichezo,soka nakumbuka walikuwepo kina jagina,china,mdogo wake athuman china wa yanga, raha,herman n.k wazee wa mpira wa meza. Rahim kipingu,hamza(alikuwa anaishi kinondoni),uncle Tom hawa wazee wa kudanki.
Mzee kente nasikia alifariki kitambo,Mungu amlaze mahali pema peponi.
yuko wapi,manake alikuw na kitu Kama Mguu wa mtoto mdogo,alikuwa anakaa palepale hostel za shule.Muuza mihogo ya kukaanga na juice za ndoo bwana kingo,alikuwa mtu wa kuchomekea,nakumbuka kuna wakati inasemekana alimla sister duu mmoja wa shaban robert alikuwa anakujaga tuition pale AZania kwa Mwalimu matrei.
yule mwalimu wa fine Arts mr mrope bado yupo Azania?
pia kuna Jamaa alikuwa anaitwa panga la Shaba tokana na mdomo wake ulivyokuwa Kama kikatuni cha panga la shaba, Cheka na nipashe name yuu wapi.
kwa wale waliomaliza 4 1993, kulikuwa na vichwa viwili matata kwa kupasua manyanga,Kimoja group A na kingine group B, wote walikuwa wanaitwa salvatory,wako wapi hawa Jamaa.
vilevile azaboy haikuwa nyuma sana kimichezo,soka nakumbuka walikuwepo kina jagina,china,mdogo wake athuman china wa yanga, raha,herman n.k wazee wa mpira wa meza. Rahim kipingu,hamza(alikuwa anaishi kinondoni),uncle Tom hawa wazee wa kudanki.
Mzee kente nasikia alifariki kitambo,Mungu amlaze mahali pema peponi.