ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 16,697
- 39,154
Pori la Mbweni na Ununio ambayo ni sehemu Moja kijiogrofia au yanapakana yameukuwa tishio Kwa maisha ya watu
Mfano
1. Mzee Ali Kibao alitekwa na baadae mwili wake ukakutwa umetupwa kwenye pori hili
2. Makaburi ya halaiki
CNN ilihabarisha ulimwengu kuwepo Kwa makaburi ya halaiki kutokana na mauaji ya oktoba 29
3 David Jumbe,
Huyu ni mlinzi wa Lissu, Leo amesema alitekwa na wauaji wakawa wanampeleka kumuuwa kwenye pori la Mbweni
4 Roma mkatoliki
2017, Msanii Roma mkatoliki alitekwa na kusema kuwa aliokotwa porini Ununio kwenye hilo pori
5. Humphrey Polepole
Taarifa zilidai kuwa watekaji walimpeleka kwenye hilo pori.
Hadi Leo hajawahi kuonekana.
6. Stephen Ulimboka Dk
Alitupwa Mabepande
Hawa ni baadhi ya watu maarufu, hatujui watu ambao sio maarufu waliopotelea kwenye hilo pori.
Pori la Mbweni na Ununio kama yanatumikanna vyombo vya ulinzi na usalama Kwa ajili ya shughuli zao za kiulinzi basi wahakikishe lisitumiwe na wahalifu hasa watekaji kuuwa Watanganyika
Serikali ya Wilaya Kinondoni na Jiji la Dar es salaam yapo hicho la umakini haya mapori ya Ununio, Mbweni na Mabepande
Au myagawe yawe makazi Kwa raia ili kuondosha uhuni wa utakaji
Mfano
1. Mzee Ali Kibao alitekwa na baadae mwili wake ukakutwa umetupwa kwenye pori hili
2. Makaburi ya halaiki
CNN ilihabarisha ulimwengu kuwepo Kwa makaburi ya halaiki kutokana na mauaji ya oktoba 29
3 David Jumbe,
Huyu ni mlinzi wa Lissu, Leo amesema alitekwa na wauaji wakawa wanampeleka kumuuwa kwenye pori la Mbweni
4 Roma mkatoliki
2017, Msanii Roma mkatoliki alitekwa na kusema kuwa aliokotwa porini Ununio kwenye hilo pori
5. Humphrey Polepole
Taarifa zilidai kuwa watekaji walimpeleka kwenye hilo pori.
Hadi Leo hajawahi kuonekana.
6. Stephen Ulimboka Dk
Alitupwa Mabepande
Hawa ni baadhi ya watu maarufu, hatujui watu ambao sio maarufu waliopotelea kwenye hilo pori.
Pori la Mbweni na Ununio kama yanatumikanna vyombo vya ulinzi na usalama Kwa ajili ya shughuli zao za kiulinzi basi wahakikishe lisitumiwe na wahalifu hasa watekaji kuuwa Watanganyika
Serikali ya Wilaya Kinondoni na Jiji la Dar es salaam yapo hicho la umakini haya mapori ya Ununio, Mbweni na Mabepande
Au myagawe yawe makazi Kwa raia ili kuondosha uhuni wa utakaji