Vibanda vya wamachinga mtaa wa Msimbazi Kariakoo vyasambaratishwa

jipange kukabwa sana na mabasi kutekwa sana mikoani hilo kundi linalotolewa hapo + vyeti feki + wahitimu ambao Jobless kundi linarud mtaani kuangalia alternatives za maisha tegemea tabia za kipindi cha Jakaya kurudi kwa kasi sana , ilibid chief angaya aanze na kuandaa mazingira mazuri mkoa mzima wa dar kisha ndo awafukuze , juzi nmepita maeneo ya Yombo nmekuta kero ya eneo elekezi lipo kwenye njia ya maji taka yanayofunguliwa na wanaoisho kwenye miinuko , hii ilibidi serikali wapige streams za majitaka ili majitaka yasitapakae na kuwa kero , kwa hali kama hii ndio maana vijana wengi walikuwa wanakomaa barabarani sababu soko na mazingira ni rafik kwao
Ukiwa jambazi dawa yako ni risasi tuu !!!usitutishe
 
hakuna fremu za laki moja au elfu hamsini ?, Choice ni kama mtu hana uwezo na framu basi atembeze bidhaa, sababu kupanga kwenye road reserves au sehemu ambayo sio husika sidhani kama ni option;
Kaka unaijua shughuli ya kutembea?
 
jipange kukabwa sana na mabasi kutekwa sana mikoani hilo kundi linalotolewa hapo + vyeti feki + wahitimu ambao Jobless kundi linarud mtaani kuangalia alternatives za maisha tegemea tabia za kipindi cha Jakaya kurudi kwa kasi sana , ilibid chief angaya aanze na kuandaa mazingira mazuri mkoa mzima wa dar kisha ndo awafukuze , juzi nmepita maeneo ya Yombo nmekuta kero ya eneo elekezi lipo kwenye njia ya maji taka yanayofunguliwa na wanaoisho kwenye miinuko , hii ilibidi serikali wapige streams za majitaka ili majitaka yasitapakae na kuwa kero , kwa hali kama hii ndio maana vijana wengi walikuwa wanakomaa barabarani sababu soko na mazingira ni rafik kwao
Tutawachoma moto na risasi..warudi mashamba wakalime huko
 
Kaka unaijua shughuli ya kutembea?
Kutatua tatizo kwa kuongeza tatizo sio suluhisho..., Kila siku nasema utatuzi wa kudumu wa Machinga ni kuacha kuwazalisha kwa kuwa na shughuli mbadala za uzalishaji (hakuna mtu anapenda kuwa machinga na kuishi kwa kubahatisha hakuna tija kwa taifa wala kwa mbahatishaji)

Lakini kama hilo halifanyiki / halijafanyika suluhisho sio kuendelea kuharibu kwa watu kutofuata utaratibu hivyo kuwa kero na budhudha kwa wote...., Pia muendelezo huu wa holela holela mwisho wake sio mwema (kwa lugha ya kigeni ninaweza kusema kwa kuendelea na kupanga bidhaa kiholela ni kama "To Cut your Nose to Spite your Face"

 
Nimepita hapo muda si mrefu, naona Kariakoo inaanza kupendeza sasa, hongera na pongezi zote zimuuendee mkuu wa mkoa.

================================
Update: Polisi wakimbizana na Wamachinga Dar
wameona uchaguzi wa 2025 unakaribia, sasa wanawaharibia wamachinga ili 2025 wapate mtaji wa maneno wa namna ya kuwalaghai wamachinga; kwamba wamachinga na mamantilie mkitupigia kura ccm, hamtabuguziwa tena. Na walivo mapunga watawapigia ccm kura.
 
Weka picha ili na sisi tunaoishi huku vijijini ndani ndani tuone.
Kwa hisani ya Millard Ayo.
Screenshot_20211019-214309_Chrome.jpg
Screenshot_20211019-214348_Chrome.jpg
Screenshot_20211019-214338_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom