HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,364
- 94,545
Wahakikishe hawarudi tenaHongera sana Amos Makalla,kazi inaonekana. Wakuu wa mikoa ya Mwanza na Arusha bado wako usingizini. Nimepita kariakoo leo mitaa imeanza kutakata
Wahakikishe hawarudi tenaHongera sana Amos Makalla,kazi inaonekana. Wakuu wa mikoa ya Mwanza na Arusha bado wako usingizini. Nimepita kariakoo leo mitaa imeanza kutakata
Mbona wameanza ondokaKuna watu wanawajaza ujinga kwamba wakikomaa hawawezi kuwatoa eti wao ni jeshi kubwa.
Ukiwa jambazi dawa yako ni risasi tuu !!!usitutishejipange kukabwa sana na mabasi kutekwa sana mikoani hilo kundi linalotolewa hapo + vyeti feki + wahitimu ambao Jobless kundi linarud mtaani kuangalia alternatives za maisha tegemea tabia za kipindi cha Jakaya kurudi kwa kasi sana , ilibid chief angaya aanze na kuandaa mazingira mazuri mkoa mzima wa dar kisha ndo awafukuze , juzi nmepita maeneo ya Yombo nmekuta kero ya eneo elekezi lipo kwenye njia ya maji taka yanayofunguliwa na wanaoisho kwenye miinuko , hii ilibidi serikali wapige streams za majitaka ili majitaka yasitapakae na kuwa kero , kwa hali kama hii ndio maana vijana wengi walikuwa wanakomaa barabarani sababu soko na mazingira ni rafik kwao
Hizo vurugu za nini sasa?Mbona wameanza ondoka
Utii wa sheria bila shuruti ni muhimu sana,huwezi watasambaratisha na sometimes huwa serikali inatia moto mnakula hasara.Nimepita hapo muda si mrefu, naona Kariakoo inaanza kupendeza sasa, hongera na pongezi zote zimuuendee mkuu wa mkoa.
================================
Update: Polisi wakimbizana na Wamachinga Dar
Mikopo ya wamachinga unaijua?.Wana Mikopo Bank alafu bado machinga ?
Kama ndivyo wasife moyo wajiongeze na mikopo ya Bank wachukue frame
hakuna fremu za laki moja au elfu hamsini ?, Choice ni kama mtu hana uwezo na framu basi atembeze bidhaa, sababu kupanga kwenye road reserves au sehemu ambayo sio husika sidhani kama ni option;Mikopo ya wamachinga unaijua?.
Laki 5 nyingi
Kaka unaijua shughuli ya kutembea?hakuna fremu za laki moja au elfu hamsini ?, Choice ni kama mtu hana uwezo na framu basi atembeze bidhaa, sababu kupanga kwenye road reserves au sehemu ambayo sio husika sidhani kama ni option;
Tutawachoma moto na risasi..warudi mashamba wakalime hukojipange kukabwa sana na mabasi kutekwa sana mikoani hilo kundi linalotolewa hapo + vyeti feki + wahitimu ambao Jobless kundi linarud mtaani kuangalia alternatives za maisha tegemea tabia za kipindi cha Jakaya kurudi kwa kasi sana , ilibid chief angaya aanze na kuandaa mazingira mazuri mkoa mzima wa dar kisha ndo awafukuze , juzi nmepita maeneo ya Yombo nmekuta kero ya eneo elekezi lipo kwenye njia ya maji taka yanayofunguliwa na wanaoisho kwenye miinuko , hii ilibidi serikali wapige streams za majitaka ili majitaka yasitapakae na kuwa kero , kwa hali kama hii ndio maana vijana wengi walikuwa wanakomaa barabarani sababu soko na mazingira ni rafik kwao
Kutatua tatizo kwa kuongeza tatizo sio suluhisho..., Kila siku nasema utatuzi wa kudumu wa Machinga ni kuacha kuwazalisha kwa kuwa na shughuli mbadala za uzalishaji (hakuna mtu anapenda kuwa machinga na kuishi kwa kubahatisha hakuna tija kwa taifa wala kwa mbahatishaji)Kaka unaijua shughuli ya kutembea?
wameona uchaguzi wa 2025 unakaribia, sasa wanawaharibia wamachinga ili 2025 wapate mtaji wa maneno wa namna ya kuwalaghai wamachinga; kwamba wamachinga na mamantilie mkitupigia kura ccm, hamtabuguziwa tena. Na walivo mapunga watawapigia ccm kura.Nimepita hapo muda si mrefu, naona Kariakoo inaanza kupendeza sasa, hongera na pongezi zote zimuuendee mkuu wa mkoa.
================================
Update: Polisi wakimbizana na Wamachinga Dar
Mikabo na madirisha kutobolewa kutaongezeka soon
Wasijaribu mkuu, tukiwakamata hawatapata kabisa nafasi ya kusimulia walichokutana nacho. Wafate maelekezo ya Serikali ya kwenda walikoelekezwa.Mikabo na madirisha kutobolewa kutaongezeka soon
Kwa hisani ya Millard Ayo.Weka picha ili na sisi tunaoishi huku vijijini ndani ndani tuone.
Primitive ways hio.Tumeanza na wamachinga tukimaliza tunakuja kwa bodaboda. Mpaka nchi inyooke.
Nchi itanyooka kwa katiba mpya TU, na sio kuwanyoosha wamachinga na mabodaboda!