Aniko
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 1,766
- 958
Siku zilizoongezwa siyo yakuwa waendelee kubakia maeneo hayo wanatakiwa waondoke wasilewe na hizo taarifa.Si aliongeza siku 12?
Siku zilizoongezwa siyo yakuwa waendelee kubakia maeneo hayo wanatakiwa waondoke wasilewe na hizo taarifa.Si aliongeza siku 12?
Serikali nitawaona ni wajinga wa karne.Watarudi tu manka!
Wanaume/Wanawake watakuwa na nidhamu. Saa mbili kamili usiku watu vitandani. Mji wote kimyaaaa!!! Ni Patrol za Police tu, tena kwa kujinafasi bila misongamano!!Mikabo na madirisha kutobolewa kutaongezeka soon
Naunga mkono hoja, tatizo la machinga, bodaboda,na bajaji liko katika miji mingi hapa nchini. Wakuu wengine wa mikoa hawajishughulishi sijui hawamuoni mwenzao Makalla!Hili zoezi lifanyike nchi nzima..machinga wakae kwa utaratbu unaoeleweka..sio kama sasa hiv hata sehem ya kutembea hakuna
Wana Mikopo Bank alafu bado machinga ?"Mtanikumbuka ndugu zangu"
Mabenk na vikoba wajiandae kulia
Tutawalaza chiniMikabo na madirisha kutobolewa kutaongezeka soon
Habari njema sana hizi Mkuu wa Mkoa anastahili pongezi.Nimepita hapo muda si mrefu, naona Kariakoo inaanza kupendeza sasa, hongera na pongezi zote zimuuendee mkuu wa mkoa.
Ni kuimalisha ulinzi ukikatwa kwa ujambazi ni shaba tu!jipange kukabwa sana na mabasi kutekwa sana mikoani hilo kundi linalotolewa hapo + vyeti feki + wahitimu ambao Jobless kundi linarud mtaani kuangalia alternatives za maisha tegemea tabia za kipindi cha Jakaya kurudi kwa kasi sana , ilibid chief angaya aanze na kuandaa mazingira mazuri mkoa mzima wa dar kisha ndo awafukuze , juzi nmepita maeneo ya Yombo nmekuta kero ya eneo elekezi lipo kwenye njia ya maji taka yanayofunguliwa na wanaoisho kwenye miinuko , hii ilibidi serikali wapige streams za majitaka ili majitaka yasitapakae na kuwa kero , kwa hali kama hii ndio maana vijana wengi walikuwa wanakomaa barabarani sababu soko na mazingira ni rafik kwao
Nimepita hapo muda si mrefu, naona Kariakoo inaanza kupendeza sasa, hongera na pongezi zote zimuuendee mkuu wa mkoa.
Na Chadema bana! Imefuata marching guys kisha.....?Tumeanza na wamachinga tukimaliza tunakuja kwa bodaboda. Mpaka nchi inyooke.
Watachomwa motoMikabo na madirisha kutobolewa kutaongezeka soon
Watachomwa motoMikabo na madirisha kutobolewa kutaongezeka soon
Katiba lazima itakuja maana Znz itatakiwa kuwa nchi kamiliNchi itanyooka kwa katiba mpya TU, na sio kuwanyoosha wamachinga na mabodaboda!