Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,809
- 15,438
- Thread starter
- #61
Paloma bana...!Mtambuzi hahahahaaaa umeniandikia mimi au yule dadako pale nje siku ileeeeeeeeeeee..........
Unajua unakosea kusema kama bata....bata ndo kaumbwa hivyo ana matege yake namove kwa maringo! Hali kadhalika wanyama wengineo!
Cha msingi ni uwezo wa kuvitembelea! kama uko comfy unaweza kutimba navyo daily ofisini poa tu!!!
Ila kuna issue ya kuumwa mgongo na viuno huko mbele............ngoja watafiti watifue
Kumbe uliona eh, mwenzako baada ya kumuona binti anavyoyumba na mchuchumio siku zile nikajiuliza maswali mengi sana, na ndio nikapata wazo la kuweka huu uzi......
Last edited by a moderator: