King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
kwani shem wako ni semenya? Au anakimbizwa na nini?Shem usivae kabisa utashindwa kukimbia!
kwani shem wako ni semenya? Au anakimbizwa na nini?Shem usivae kabisa utashindwa kukimbia!
lile gauni la kim k ulishaenda kulichukua? Ujue boflo alitulipia, shauri yako.mi rehab sitaki!
Hahahahaha lol! Mie sitii neno :boxing::boxing::boxing:
heee! Boflo hawezi kunitenda kitendo namna hii!yani gauni nipress order mimi af akununulie wewe ?atanikoma akija hapa!lile gauni la kim k ulishaenda kulichukua? Ujue boflo alitulipia, shauri yako.
mwenzio nna nguo ya krismas.
nashanga!Hehe anakudanganya, sijamnunulia, ni ww pekee nitakununulia, kwani mm ctaki unibebe juu juu?
mi rehab sitaki!
Hata dadaako FP kagomea rehab nami nikamshauri kwamba rehab ya nini kama mapenzi yao yamepamba moto pande zote mbili!? (Rehab inahitajika pale ambapo mmoja kapenda lakini kule alikopenda hakuna mapenzi) Wote wamezimikiana kupita kiasi maraharaha mtindo mmoja kila mmoja yuko moyoni na akilini kwa mwenzake 24/7 furaha tele ndani ya nyumba. Weekend kwenda kujirusha kwa raha zao na wakiamua kukaa nyumbani hakuna anayenung'unika sasa uombe nini tena katika mapenzi!? Mapenzi kama hayo ni nadra sana kuyapata katika dunia ya leo lakini ukibahatika raha yake usiambiwe!!! Kuna feeling fulani ambayo unajisikia saa zote zote na hutaki ipotee kabisa. Ukishikwa shikamana!!!
snowhitehaswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
mi penzi halinikeri,haliniumizi,halinipi shida.lanipa raha,furaha,na masotojo yote ya kihisia!
natafuta rehab ya nini?akhu!
NAJILIIIIIIIIIIIA KWA RAHA ZANGU!
ila BAK tumechakachua hii sredi kiasi Mtambuzi akifika hapa hatuna keyboard walahi!
poa nimekumbuka na ye ni teja kwisha kazi,aftena ni shemeji ujue!
ahahahhahhahahah chezeya unga wa kukatwa kucha na kumpaka mama ngina nail polish wewe!ah lazima atuelewe!
we sail in the same boat!
HABARI ZA ASUBUHI TEJA Mtambuzi?
AHAHHAHHHHHAH size yetu huyu!najua kinachomsumbua!
taizo alishawahi kudondokewa na binti mmoja wa kingoni af akapotezea akzaingua binti akaona ah cha kufia nini,kahama kwenye coce yake katafuta mandrax sasa anavomuona alivo teja sa hizi anajutaaaje!na haps ndo tunazidi kumdatisha kabisa!
sasa platozoom mtani wangu mi na wewe hatujakutana barabarani siwezi kuona unazidi kuteseka kiasi hiki!
hebu fanya mpango uongozane na BAK safarini peramiho!mkirudi hapa saaafi!
rafiki hizo ni salamu tu, kwa vile unampango wa kwenda Peramiho utaisikia sana hiyo, usije ukashangaa ina maana za siku...... sawa?Mhhhh! taratibu banaaa!!! Ni aje rafiki!? lol! :majani7::majani7::majani7:
ha haaaaaaaaa, rafiki yaani umenisemea kila nilichotaka kusema, thank you kwa kuwa mawazoni mwangu.... asante pia kwa wimbo mzuri, hayo maneno ni balaa.....hapo teja lisizidi kuchizika kweli? kwa raha zetu wenyeweHata dadaako FP kagomea rehab nami nikamshauri kwamba rehab ya nini kama mapenzi yao yamepamba moto pande zote mbili!? (Rehab inahitajika pale ambapo mmoja kapenda lakini kule alikopenda hakuna mapenzi) Wote wamezimikiana kupita kiasi maraharaha mtindo mmoja kila mmoja yuko moyoni na akilini kwa mwenzake 24/7 furaha tele ndani ya nyumba. Weekend kwenda kujirusha kwa raha zao na wakiamua kukaa nyumbani hakuna anayenung'unika sasa uombe nini tena katika mapenzi!? Mapenzi kama hayo ni nadra sana kuyapata katika dunia ya leo lakini ukibahatika raha yake usiambiwe!!! Kuna feeling fulani ambayo unajisikia saa zote zote na hutaki ipotee kabisa. Ukishikwa shikamana!!!
nitake radhi shemeji!snowhite
Unajua kuna uzi nauandika na unakuhusu sana.....
Eti mume wangu leo mie nimechoka tufanye kesho...........
Nyoo..... hebu jipeni nafasi ya kupumuwa ili tukitaka kula vyetu mwatugawia, naamini wanaume watanipa LIKE Kibaaao
No more kuchoka, wagawieni waume zenu kwa kadiri watakavyo.
بيبد
mie wala staki kukubeba juu juu, nashukuru kwa gauni. Limenitoa haswaa. Ofcoz ni siri yetu, uthijali. Ndo mipango ya mjini.Hehe anakudanganya, sijamnunulia, ni ww pekee nitakununulia, kwani mm ctaki unibebe juu juu?
rafiki hizo ni salamu tu, kwa vile unampango wa kwenda Peramiho utaisikia sana hiyo, usije ukashangaa ina maana za siku...... sawa?
ha haaaaaaaaa, rafiki yaani umenisemea kila nilichotaka kusema, thank you kwa kuwa mawazoni mwangu....
asante pia kwa wimbo mzuri, hayo maneno ni balaa.....hapo teja lisizidi kuchizika kweli?
kwa raha zetu wenyewe