snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,709
- 23,644
hapo chacha!babako hafai mi nakwambia sema tu ndo nimegundua ni shemeji siku hizi siwezi tena kumuitia msuto!yaani mdingi ana kazi ya ku-measure kishuzi cha shemeji yake? Usije home hadi maza amalize uzazi, huyu mzee namhofia aisee.