Viatu vya mchuchumio vinavyowatesa wanawake…..!

Viatu vya mchuchumio vinavyowatesa wanawake…..!

Hahahaa
Kila mtu huwa teja kwa kiasi chake japokuwa nyie mmesonga mbali mno!
ahhhahahhahahhahhhahhahahahha tumezidi enh?sa unafikiri kuna kutafuta rehab hapa kamwali!
manake teja ili apone unga umkere!sasa kama haumkeri ndo basi tena anajidunga tu kila siku af hakuna uteja mbya kama wa kujidunga sindano!uuuuwih!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
shost mi ofisini nina pair kama 3 hivi... vya kimasai yan flat kabisa... flay vya kudumbukiza... virefu sana... virefu vya kawaida ndo huwa natoka navyo home. Nikifika navua navaa flat either ya kudumbukiza kama nitakuwa nimevaa suruari.. au navaa vya kimasai ya open kama nimepiga kimini lolest!!!!! kama natoka nje ya ofisi bila kutumia gari navaa virefu kiasi na kama natumia gari navaa virefu... Dah mpaka nimekuwa mtumwa wa viatu!!!

Ndo hivyo mwaya.
Ukiwa na mapenzi na kitu inabidi uwe creative na vijiformular mradi tu uendelee kutokelezea! lol
 
ahhhahahhahahhahhhahhahahahha tumezidi enh?sa unafikiri kuna kutafuta rehab hapa kamwali!
manake teja ili apone unga umkere!sasa kama haumkeri ndo basi tena anajidunga tu kila siku af hakuna uteja mbya kama wa kujidunga sindano!uuuuwih!


IT TAKES A MAN TO CONSTRUCT A HOUSE BUT IT NEEDS A WOMAN TO MAKE A TEJA PALACE!

Si ndiyo???

Nyie jisemesheni tu hapa!
 
Mhhhh! taratibu banaaa!!! Ni aje rafiki!? lol! :majani7::majani7::majani7:

mlongo wangu nimesikiliza maneno ya rafiki yangu BAK anasema ukishikwa shikamana, sasa na mimi nimeamua kushikamana wengo......... nisije nikaanguka bure, lol!
za magono mlongo wangu
 
Hivi hii sredi imekuwa ya Wangoni?

UTUWAAACHE TUPUMUWE!
tumeona watu wazungumzia uteja wa sikonko!
na siye tukawaza kwani siye ni mateja wa nnini?
tulipogundua kuwa na sisi tu uteja wetu ah tunaendeleza:majani7:kitu cha pakistani mchezo!
sasa we inaelekea una uteja wa kingoni wewe!hebu tiririkaaaa hapa wangoni walikufayaaajeh!mpaka kila ukiwaona hivi nanga inapaaa?
 
chezea uteja weye kisweet!!! Ukishakuwa teja huwezi kuyakumbuka mengine unachokumbuka 24/7 ni uteja tu ndio maana kuna umuhimu wa kuwekwa rehab ili kupata matibabu ya maradhi hayo ya kuwa teja.
mi rehab sitaki!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom