Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Taarifa ya JKCI imeeleza kuwa Upasuaji huo mdogo wa kubadilisha valvu umefanyika kwa mara ya kwanza hapa nchini Tanzania.
Kwangu mbona zinafungukaMbona picha hazifunguki, au ni kwangu tu!
Jihadhari na miaka 30 kudeki mtarohongera zaooo..... ata mm mwenzenu apa nina kabinti apa nataka nikafungue valvuu
Hayo ni mambo ya kitaalam sana mwanangu, kwanza unapaswa kulala ndani ya chandarua chenye dawa ili kujilinda na malaria.Hivi huwa wanafanyaje yaani?? Wanaufijiaje moyo au ubongo bila kupasua?