Mgonga Like
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 1,255
- 1,661
Bibi ni saa kumi ndio mida powa sana..mim nawaii basiiHaya, saa ngapi?
Wanakufikisha wapi,kwenye hela?Wazee ndio wananifikisha mkuu
me nafata rangi huko kuzama au kuchomoza unajua wewe😀Mbona umeweka jua linazama?
Hiyo ni ishara mbaya sana
Wanakufikisha wapi,kwenye hela?
Bibi ni saa kumi ndio mida powa sana..mim nawaii basii
Hahaha muache mzee apumzike bhana,unataka kumpigisha sarakasi mzee wa watuKwa huyu si pesa cheo wala utajiri. Haiba yake, mahaba na Huba zake
Hakika hakuna mwanamke timamu asiyetamani kuwa na mwanaume kama yeye
Hahaha muache mzee apumzike bhana,unataka kumpigisha sarakasi mzee wa watu
Njoo tunawezana mi na wewe
Wanajifanyaga wakorofi kumbe wanakamatikaga,Safi sana, utanikuta nnakungoja.
Mahabati hata kwangu yapo,unataka mpaka uvutwe mkonoWewe unawaza sarakasi mimi nataka mahabati
Jisogeze uyaone,kwani ya mzee uliyaonaje?Embu niyaonee
Wanajifanyaga wakorofi kumbe wanakamatikaga,
Mapenzi kitu ingine
Ila kazi ya moyo ni moja tu,kusukuma damu sasa wewe umeiovadozi na kwa dakta tenaTatizo Moyo Mkuu nampenda sana Dakta Mkwere nitakufa juu yake
Jisogeze uyaone,kwani ya mzee uliyaonaje?
Hahaha,mkuu kumbe unakapenda hako kamchezo= wanajifanya
= wanakamatika
Umeshajifikiria wewe ulifikaje duniani? Vipi, baba'ko na mama'ko hawakufanya mapenzi? Au ni wa bahati mbaya tu?