Valentines Special Thread 2017

Valentines Special Thread 2017

Skuile si uliwashindwa?
alikimbia mwenyewe et likubwa!!,sijui hakujua mimi ni wa mkoani...! punda si punda dah! na nikilenga sikosi mbami bila siku zake wale jamaa zangu huwa wanamapanga hata nivae mfuko maalum wanatoboa tu! akaogopa akakimbia hapa mpk chozi limenidondoka...
 
alikimbia mwenyewe et likubwa!!,sijui hakujua mimi ni wa mkoani...! punda si punda dah! na nikilenga sikosi mbami bila siku zake wale jamaa zangu huwa wanamapanga hata nivae mfuko maalum wanatoboa tu! akaogopa akakimbia hapa mpk chozi limenidondoka...
Aisee, tatizo amesema hujui kubembeleza, unampa amri ndomana kakimbia pia.. Sasa leo madem wote wapo busy, sijui utatoka na nani
 
Aisee, tatizo amesema hujui kubembeleza, unampa amri ndomana kakimbia pia.. Sasa leo madem wote wapo busy, sijui utatoka na nani
nimeshampata ngoja nikavinjari nae nimemwambia ntamuonga mwezi amekubali😀 V ya leo itaenda mwake coz anachura yamaana
 
nimeshampata ngoja nikavinjari nae nimemwambia ntamuonga mwezi amekubali😀 V ya leo itaenda mwake coz anachura yamaana
Hakikisha unamfanya ashibe kwa muda wa miezi tisa ili heshima iwepo
 
JF kuna kaupendo flani hv... huwez kukaona mpaka jicho la tatu... nawapenda sana GREAT THINKERS...!!!
 
Hakikisha unamfanya ashibe kwa muda wa miezi tisa ili heshima iwepo
ha ha ha ha... hiyo lazima me huwa sikosagi lzm niongeze watu watakaokuja kuisumbua nchi kwa kugoma pasipo sababu
 
Hivi hii Valentine day ni utamaduni wa kabla gani hapa Afrika au tumeiga tu kutoka kwa wazungu?
 
Back
Top Bottom