Usifurahi sana ntabadili mimi
Huo uhusiano wao bomba sana maana mwanaume hakopeshi na mwanamke hakwepeshi.
nmeona hapo ila tambua yeye ni mtu mzima hata mm ni mtu mzma pia. Nilianza hukoooo. Kama ambavyo hata yeye alianzia hukooo. Lakn hapa ni ukurasa mpya
Hivi humu huwa wanagongana kweli au ndo wanaishia kuitana wapenzi na kufanya matusi kinguo nguo?
ntakupeperusha kama upepo tuu
Mmmmh nimeipenda hii ila wasiwasi wangu hawa watu wawili wanaweza kuwa na tofauti kubwa sana ya umri???
Utakapo kutanane nae face to face tunaomba mrejesho usije ukakaa kimya maana inaweza kuwa tamko la kukubali hapa afu baadaye kimya kikatawala na ID ikabadilishwa Vaislayumri ni namba tu ....
Hata Kama hujanimention, nakuombea poa mkuu. Kuwa Kama ulivyo hapa jamvini ili asijilaumu kukupenda.TAMKO;Mimi Vaislay nimekukubali bwana@7 5 mm, uwe mume wangu lakini naomba useme kabisa mbele ya wote,hutakuwa unachepuka, Wote watakao kumendea mendea utaniambia,watakao rusha mikuki yao PM unanionyesha...
Lakini napenda kukufahamisha mume mtaraji mimi nina lichepuko langu la milele Kaizer nitahitaji muda wa kuliacha taratibu
NDUGU; Dinazarde ICHANA@khantwe naomba muanze maandalizi ya taratibu zoote Mtoto halali na hela nakutegemea sana..... Asprin nahitaji unifanyie mambo ya maujumbe namna ya kudumu ndoani
Hata Kama hujanimention, nakuombea poa mkuu. Kuwa Kama ulivyo hapa jamvini ili asijilaumu kukupenda.
hongera sana mkuu.