Vaislay unahtajika

Vaislay unahtajika

Subiri kesho asubuhi tu utakuta thread ya mheshimiwa kombola a.k.a bom a.k.a calliber 7 5 mm kuwa amepigwa mzinga analia kama yule....... nani vile kanunua mpaka luku manina halafu hakuna papuchi.......... Vaislay tuanze kuandaa pambano lako pale kati.....???

aaayuuu punguza maneno
 
Last edited by a moderator:
hahahaha uskute ni JERRY msigwa lol

My super sweetest husband JERRY Msigwa yupo busy na box.
Hizi ni drama za kina mwafulenge na zinaendelea.
Ha ha ulishindwa wewe kuwa mchepuko wataweza wengine waliojiunga 17 june.
 
Last edited by a moderator:
My super sweetest husband JERRY Msigwa yupo busy na box.
Hizi ni drama za kina mwafulenge na zinaendelea.
Ha ha ulishindwa wewe kuwa mchepuko wataweza wengine waliojiunga 17 june.

mkuu mbona unanena kwa lugha? Sjakuelewa kabisa
 
Last edited by a moderator:
My super sweetest husband JERRY Msigwa yupo busy na box.
Hizi ni drama za kina mwafulenge na zinaendelea.
Ha ha ulishindwa wewe kuwa mchepuko wataweza wengine waliojiunga 17 june.
ahahaga amu hawa wa 17 june hawana swaga au Jerrymsigwa namweka kiporo cha akiba ya njaa wala sijabwaga manyanga lol
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom