grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Nawe uanze kuwa mtulivu katika majibu yako nami nianze kukufikiria...we vaislay embu njoo huku,mambo yamekuwa mambo
Nawe uanze kuwa mtulivu katika majibu yako nami nianze kukufikiria...we vaislay embu njoo huku,mambo yamekuwa mambo
hmm afadhali mambo ya two in one yanabaki historia sahizi
umesahau kumuita mwingine
pacha nimekuwa shooocked
Vijana wa siku hizi wanajuwa kulia kweli
Ngoja nione hili picha litaishia wapi
wazee wambeya nao
Hahahah nalo nenooooAchia behewa hilo, ujiachiee mpaka lini utakua behewa la 15 labda hapa utakua behewa namba 1
Hahahaaaaa! LOVE IS ON THE AIR! My baby Matola, i am missing you a lot kokote ulipo! Mwaaaaaaaaa!
naona watu wamepata pa kuhemea
Hivi humu huwa wanagongana kweli au ndo wanaishia kuitana wapenzi na kufanya matusi kinguo nguo?
Naona dalili za kheri hizooooo zaja!sina wacwac na 7 5 mm coz ninauhakika amemaanisha!Nawatakieni kila la kheri ili mfikie malengo! ULIMI UMETUMIKA VIZURI NA HAYO NDIO MATUNDA YAKE.
Nimeanza mda mrefu sana kumsoma huyu dada hajawahi kuwa na majibu ya kuudhi na ni mtulivu wakat wa hatari. Vaislay nmekupenda sana nahitaji uwe mke wangu. Tafadhari sana npo serious na hili