Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Subiri uzi wako muda si mrefu
Wacha wee...can't wait
Subiri uzi wako muda si mrefu
sawa mkuu....kwa mara nyingine kila la kheri. Naonamrembo ashakorea umeona kabidilisha na avata!!!
nahisi yule makomaa ndio huyu ila ni hisia tu
Najua anaweza kupuuzia ila nitamthibitishia hayo kwa vitendo
nahisi yule makomaa ndio huyu ila ni hisia tu
Najua weeengii mmekaa macho wazi kuona nini kinafata....bado natafakari hahhaah
hahahaha nyie si mnakalia dhahabu mwenzenu kaivumbua lol
Dhahabu kwako lkn kwa nwingine inakuwa shaba
hahahaha nokia tusiharibu pishi la watu lol
hahahaha nokia tusiharibu pishi la watu lol
Mtu aliyekushauri ubadili avatar hakufai....
Mkuu tulia kwanza mpaka Vai alete jibu. Muda huu anawaza na kuwazua. Lakini mkuu 75 mm ni caliber ya bunduki au?
PM kumejaa magoli...
tahadhari kuna kulea mtoto wa bao la mwanaume mwenzio
ni tahadhari unaweza ukaipuiza