Vaislay unahtajika

Vaislay unahtajika

mimi ndio maana najiendeaga PM kibuti kikilia kinaishia huko huko....hapa hadharani wapambe nuksi weeengi... 7 5 mm umeingia jana tu leo ushatangaza ndoa!!!

Kaona aibu kutongoza kwa id yake maarufu kaona atumie id mpyaaa
 
Last edited by a moderator:
nina hali nzuri tu kwasababu sio kila ukitongoza basi unakubaliwa ujue hata kukataliwa kupo ila kinachonishangaza ni jinsi ambavyo marafiki wamelikomalia hili suala utafikir naenda kuwaoa wao

Unadhania wanawake wapo humu sie wengine tumejiandiks majina ya kike lakini ni madumeee mamaeee
 
Nilikua nimeshandaa kuku wa kienyeji thelathini kutoka shambani kwangu, na nikaandaa na wale wa mtaa wetu wapiga matarumbeta na maongezi na kanga moko kwa ajili ya kutumbuiza yalikua yanaenda vizuri lakini Muoaji hana majibu mazuri atanitesea binti bureeeee hvo tumeahirisha heheeeheeeheeehee kandelete sasa usinikumbuke tena.
 
Heheeheeeeeeeeee Kamdelete mwanetu ili usimbkumbuke tena
 
Kamdelete harusi hakuna na majibu yako kama kibakuli mume gani hauna mwelekeo #Team familia tumeamua sasa hakuna Harusi wala nini
 
7 5 mm njoo uombe radhi na ufute kauli yako

nilishaomba radhi tayar ndg, kama sijasamhewa basi. Nilipanic kwa kauli za baadhi ya wahusika wa humu. Bora ambavyo sikujiregister nilikuwa naangalia tu vulumai zao
 
Last edited by a moderator:
nilishaomba radhi tayar ndg, kama sijasamhewa basi. Nilipanic kwa kauli za baadhi ya wahusika wa humu. Bora ambavyo sikujiregister nilikuwa naangalia tu vulumai zao

futa kauli yako ya kuwaita wanawake wa humu mashangingi
 
Unadhania wanawake wapo humu sie wengine tumejiandiks majina ya kike lakini ni madumeee mamaeee

jesuss!!!.......lakn siwez kukubishia kwasababu kuna wanaume lakn bado wanataka kuolewa kwahyo sishangai mwanaume kujiita jina la kike
 
Back
Top Bottom