Vaislay unahtajika

Vaislay unahtajika

jitahidi kumrudisha mtoto kwenye line utakataje tamaa kirahisi afu usichukulie serious wote wanafanya jokes humu

sio wao tu ila hata yeye anaonesha kuwa na was was na mm sijui ananichukuliaje? Simhitaji kwa starehe bali kimaisha lakn kama yeye nafsi inamsita siwez kumlazmisha kwasababu sijui moyo wake unasiri gani
 
sio wao tu ila hata yeye anaonesha kuwa na was was na mm sijui ananichukuliaje? Simhitaji kwa starehe bali kimaisha lakn kama yeye nafsi inamsita siwez kumlazmisha kwasababu sijui moyo wake unasiri gani

tuweke utani pembeni kwani ulikuwa unataka awe mke wako serious????
 
Mkuu hata mitego hii midogo imekushinda!!Hapo ulikuwa unapimwa utayari na busara zako,wewe ushakimbilia kusema "JF hakuna wanawake!!Kwa hiyo Vaislay keishakuwa dume tayari!??

Hukuwa na mapenzi ya dhati wewe!Kirahisi hivo unakata tamaa!!

umeona eeeeeh yani kajikatia tamaa kabisaaaa
afu shem umenionea wapi utafiti wangu jamani nimemiss mpaka naumwa lol
 
Last edited by a moderator:
umeona eeeeeh yani kajikatia tamaa kabisaaaa
afu shem umenionea wapi utafiti wangu jamani nimemiss mpaka naumwa lol

mkuu sijamsema yeye ila nmeshangazwa sana na jinsi ambavyo mashangingi wamelivalia njuga hili swala na kumtaka asiwe na mm. Watawezaje kumjaji mtu kiivyo wakat hata sijawatamkia wao?? Kiukweli nmekeleka sana na coment za baadhi ya wadau humu
 
Last edited by a moderator:
umeona eeeeeh yani kajikatia tamaa kabisaaaa
afu shem umenionea wapi utafiti wangu jamani nimemiss mpaka naumwa lol

Yaaani kwanza afungue uzi wa kututaka radhi sisi tuliooa hapa hapa JF,anaposema JF hakuna wanawake,na awaombe radhi wanawake wote wa JF!!Pia afute kauli yake!!
utafiti come zis wei please, miss chagga mwambie dad wako anatafutwa huku!
 
Last edited by a moderator:
tuweke utani pembeni kwani ulikuwa unataka awe mke wako serious????

hilo analitambua yeye anajua kwahatua niliyofikia kujionyesha kwake kama angekuwa na nia anaweza kujua ni nn msimamo wangu kwake
 
Yaaani kwanza afungue uzi wa kututaka radhi sisi tuliooa hapa hapa JF,anaposema JF hakuna wanawake,na awaombe radhi wanawake wote wa JF!!Pia afute kauli yake!!
utafiti come zis wei please, miss chagga mwambie dad wako anatafutwa huku!

niwie radhi ndg kama nmekuudhi au kama kauli yangu imewaudhi. Niliboreka na coment za baadhi ya wadau humu kumkomalia Vaislay asiwe na mm
 
Last edited by a moderator:
mkuu sijamsema yeye ila nmeshangazwa sana na jinsi ambavyo mashangingi wamelivalia njuga hili swala na kumtaka asiwe na mm. Watawezaje kumjaji mtu kiivyo wakat hata sijawatamkia wao?? Kiukweli nmekeleka sana na coment za baadhi ya wadau humu

Vaislay ICHANA Dinazarde Khantwe hebu njooni mumpoze shemeji yetu jamani lol
 
Last edited by a moderator:
hilo analitambua yeye anajua kwahatua niliyofikia kujionyesha kwake kama angekuwa na nia anaweza kujua ni nn msimamo wangu kwake

sasa kwanini usingemalizana nae huko huko pm hapa wenzio wanajua labda unachangamsha genge tu
 
mimi ndio maana najiendeaga PM kibuti kikilia kinaishia huko huko....hapa hadharani wapambe nuksi weeengi... 7 5 mm umeingia jana tu leo ushatangaza ndoa!!!
 
Last edited by a moderator:
mkuu sijamsema yeye ila nmeshangazwa sana na jinsi ambavyo mashangingi wamelivalia njuga hili swala na kumtaka asiwe na mm. Watawezaje kumjaji mtu kiivyo wakat hata sijawatamkia wao?? Kiukweli nmekeleka sana na coment za baadhi ya wadau humu

sasa hao mashangingi unaowasema ni kina nani mbona unazidi kuwavunjia heshima dada zako
punguza ukali wa maneno
 
mkuu sijamsema yeye ila nmeshangazwa sana na jinsi ambavyo mashangingi wamelivalia njuga hili swala na kumtaka asiwe na mm. Watawezaje kumjaji mtu kiivyo wakat hata sijawatamkia wao?? Kiukweli nmekeleka sana na coment za baadhi ya wadau humu

Hahahaaa mkuu kumbe hujaijua vizuri JF,ulikuwa unapimwa hapo!Sio kupenda tu,tunaangalia na busara na hekima katika kuamua mambo!

Kama mashosti wanaongea na mkeo stori zao na kila mara na wewe unatoka unajiunga nao,na maneno unachangia,tunakuwa na wasiwasi!

Umemuona Kaizer?Kachangia post moja tu basi kamaliza!

Wewe unamuoa mkeo sio mashemeji wala mashosti!Rafiki/mashosti wa mkeo wakikukera,unaongea na mkeo tu,sio kwenda mitaani kuwatafuta hao mashosti kujibizana!
 
Last edited by a moderator:
sasa kwanini usingemalizana nae huko huko pm hapa wenzio wanajua labda unachangamsha genge tu

nmemweleza ukweli wote na nmejiweka waz sana lakn naona marafiki duuuh! Wanatisha sijui hata kwenye jamii znazo wazunguka kama ndivyo walivyo
 
Yaaani kwanza afungue uzi wa kututaka radhi sisi tuliooa hapa hapa JF,anaposema JF hakuna wanawake,na awaombe radhi wanawake wote wa JF!!Pia afute kauli yake!!
utafiti come zis wei please, miss chagga mwambie dad wako anatafutwa huku!

7 5 mm fanya kama ulivyo ambiwa hapa ufute kauli yako kuna wengine wamepata wake hapahapa sio vizuri kutoa maneno ya kuwakera wengine
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa mkuu kumbe hujaijua vizuri JF,ulikuwa unapimwa hapo!Sio kupenda tu,tunaangalia na busara na hekima katika kuamua mambo!

Kama mashosti wanaongea na mkeo stori zao na kila mara na wewe unatoka unajiunga nao,na maneno unachangia,tunakuwa na wasiwasi!

Umemuona Kaizer?Kachangia post moja tu basi kamaliza!

Wewe unamuoa mkeo sio mashemeji wala mashosti!Rafiki/mashosti wa mkeo wakikukera,unaongea na mkeo tu,sio kwenda mitaani kuwatafuta hao mashosti kujibizana!

wameungwa mkono
 
Last edited by a moderator:
sasa hao mashangingi unaowasema ni kina nani mbona unazidi kuwavunjia heshima dada zako
punguza ukali wa maneno

Anazidi kulikologa,,unapokutana na mwanamke ukamuita "sufuria" basi hata huyo uliyenaye nyumbani kama umeoa basi naye ni "sufuria"!
 
Back
Top Bottom