- Thread starter
- #221
jitahidi kumrudisha mtoto kwenye line utakataje tamaa kirahisi afu usichukulie serious wote wanafanya jokes humu
sio wao tu ila hata yeye anaonesha kuwa na was was na mm sijui ananichukuliaje? Simhitaji kwa starehe bali kimaisha lakn kama yeye nafsi inamsita siwez kumlazmisha kwasababu sijui moyo wake unasiri gani