Vaislay unahtajika

Vaislay unahtajika

TAMKO;Mimi Vaislay nimekukubali bwana@7 5 mm, uwe mume wangu lakini naomba useme kabisa mbele ya wote,hutakuwa unachepuka, Wote watakao kumendea mendea utaniambia,watakao rusha mikuki yao PM unanionyesha...

Lakini napenda kukufahamisha mume mtaraji mimi nina lichepuko langu la milele Kaizer nitahitaji muda wa kuliacha taratibu
NDUGU; Dinazarde ICHANA@khantwe naomba muanze maandalizi ya taratibu zoote Mtoto halali na hela nakutegemea sana..... Asprin nahitaji unifanyie mambo ya maujumbe namna ya kudumu ndoani

ICHANA njoo..mchana kutwa sijajua kuna nn apa

Bamkubwa Kaizer habari ndiyo hiyo
 
Last edited by a moderator:
Dada umesema, nisaidie basi kucancel kwa aliyekuwa mume mtarajiwa

Cc: @75 mm Kaizer

Kuanzia sasa ombi lako LA kumuoa bi Vaislay nimekataliwa
Ataendelea kuwa chini ya uangaliz wa Kaizer as usual
familia tumekaa chin tumeona vigezo havitushawish tukupe huyu mdogo wetu awe mkeo
 
Last edited by a moderator:
Nipo kuna jamaa kajitokeza anataka kumuoa Vaislay chepuko lako LA kudumu

Mm kama Dada mkubwa nimecancel hii harus .

Tooop. Sredi ifungwe sasa. Hapa hakuna zaidi....masikini Spain...😱
 
Last edited by a moderator:
Cc: @75 mm Kaizer

Kuanzia sasa ombi lako LA kumuoa bi Vaislay nimekataliwa
Ataendelea kuwa chini ya uangaliz wa Kaizer as usual
familia tumekaa chin tumeona vigezo havitushawish tukupe huyu mdogo wetu awe mkeo

DADA AMESEMA...... @7 5mm nilipenda kuwa nawe lakini nimeshauriwa kwamba nimefanya haraka sana bila kufikiri, Mume umeingia jana Kijijini kwetu leo unataka ndoa, ....Mimi nimeafikiana na ndugu zangu,.....Hakuna ndoa tena
 
DADA AMESEMA...... @7 5mm nilipenda kuwa nawe lakini nimeshauriwa kwamba nimefanya haraka sana bila kufikiri, Mume umeingia jana Kijijini kwetu leo unataka ndoa, ....Mimi nimeafikiana na ndugu zangu,.....Hakuna ndoa tena
Kaizer kuwa na amani
Waliokuwa wameshajiandaa kwa ndoa pole sana hakuna ndoa na siredi imefungwa kabisaaaaaaa
Asante sana mdogo wetu kwa kusikia kauli na ushauri wetu
Jitahid kupunguza aibu
Una soni ya kiusichana mno mdogo wetu.
 
Last edited by a moderator:
Langu neno mwanaume huyu anayataka kuoa tufamfanyia utafiti... Dinazarde kashasema aweke picha na pia tunataka CV yake ...family background .... Kaizer amekubali uolewa

Mume ajitambue mdogo wangu usiwe na haraka

kwa hyo mm sijitambui? Lakn sio mbaya endeleen kumkatisha tamaa mwenzenu. Lakn nawashangaa mmelivalia njuga utafikir nawaoa nyie kweli jf hakuna wanawake
 
Last edited by a moderator:
kwi kwi 7.5mm sijui ana hali gani sa hizi lol

nina hali nzuri tu kwasababu sio kila ukitongoza basi unakubaliwa ujue hata kukataliwa kupo ila kinachonishangaza ni jinsi ambavyo marafiki wamelikomalia hili suala utafikir naenda kuwaoa wao
 
nina hali nzuri tu kwasababu sio kila ukitongoza basi unakubaliwa ujue hata kukataliwa kupo ila kinachonishangaza ni jinsi ambavyo marafiki wamelikomalia hili suala utafikir naenda kuwaoa wao

jitahidi kumrudisha mtoto kwenye line utakataje tamaa kirahisi afu usichukulie serious wote wanafanya jokes humu
 
kwa hyo mm sijitambui? Lakn sio mbaya endeleen kumkatisha tamaa mwenzenu. Lakn nawashangaa mmelivalia njuga utafikir nawaoa nyie kweli jf hakuna wanawake

nina hali nzuri tu kwasababu sio kila ukitongoza basi unakubaliwa ujue hata kukataliwa kupo ila kinachonishangaza ni jinsi ambavyo marafiki wamelikomalia hili suala utafikir naenda kuwaoa wao

Mkuu hata mitego hii midogo imekushinda!!Hapo ulikuwa unapimwa utayari na busara zako,wewe ushakimbilia kusema "JF hakuna wanawake!!Kwa hiyo Vaislay keishakuwa dume tayari!??

Hukuwa na mapenzi ya dhati wewe!Kirahisi hivo unakata tamaa!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom