love love baby
Member
- Jun 16, 2014
- 40
- 3
Mmmh na mimi nataka eeh
Anazidi kulikologa,,unapokutana na mwanamke ukamuita "sufuria" basi hata huyo uliyenaye nyumbani kama umeoa basi naye ni "sufuria"!
cc sungura1980 tumsamehe kibuti kimemchanganya ujue
kweli kabisa kibuti kimemchanganya tumsamehe bureeeeee
duh! Una majibu mabaya ndg. Mbona niliomba msamaha?
kibuti ni msamiati wakawaida sio neno baya kama limekukera niwie radhi kaka
Tena wewe utafaa zaidi yangu, Kama my expected mume atakukubali,Mi nipo tayar kuolewa kama vaislay hatak
Mkuu hata mitego hii midogo imekushinda!!Hapo ulikuwa unapimwa utayari na busara zako,wewe ushakimbilia kusema "JF hakuna wanawake!!Kwa hiyo Vaislay keishakuwa dume tayari!??
Hukuwa na mapenzi ya dhati wewe!Kirahisi hivo unakata tamaa!![Bora umeona....hana maana hata kidogo huyu mwanaume
we naeeeee roho ngumu ka mkaanga sumu .Mkuu kuna watu wanajianzishia thread ili kujipatia umaarufu!
Hakuna jipya hapo tushastuka bhana!
asubuhi njema amu!
Kwa hyo umetuita hapa sisi ndo mashangingi au...????
Ha ha ha my lovely shem Sungura 1980 nashukuru kwa ubusara wako wa kumjibu mhusika huyu
Kijana hii yote ilikuwa mitego midogo tu na changamoto kwa maana hat unapoenda kujitambulisha sio wanajamii wote wanakubali wengine wanaweka pingamiz
BT the way utakavyokuwa umemuandaa, upendo, uaminifu, kumjali mwenzio sio rahis asikie LA pembeni
Umetumia lugha sio nzur kuniquote " mashangingi" jf may be wew mgen tumia busara zaid kujibu kama kweli ulikuwa unamaanisha challenge ni nyingi ...hapa msituni hatufahamiani usipanic kiivyo . Vaislay nadhani umeona jaribio langu LA mm kuwa pinzani na harusi na majibu tulopota.
sio hivyo Khantwe kashaomba radhi huyo mtu mmbembelezeni kwa vai
Bado hajaomba radhi,,tumsikie hapa akiwataka radhi wanawake kwa kuwaita #Mashangingi na kusema humu JF hakuna #Mwanamke !Ayataje hayo maneno,ikiwezekana afute kauli yake!