Vaislay unahtajika

Vaislay unahtajika

haya: jaman wana jf nmetengua kauli ya kuwaita {nyinyi ni mashangingi} kwanzia sasa nyinyi sio mashangingi ila wife material mliobarikiwa..... Waone

Muone mwenyewe halaf wewe utakuta una sura ka greda la manispaa
 
Hivi kwanini Song alimpiga ngumi yule forward wa Croatia?

Song ni zile chupi au! !halaf nataka kukupeleka wewe na Khantwe mkapime magonjwa yote haswa unaoambukiza HIV
 
Last edited by a moderator:
Muone mwenyewe halaf wewe utakuta una sura ka greda la manispaa

duuh! Yamefika huku mpaka kuchambuana sura? Nashukuru ndg mshukuru sana Mungu aliyekupa sura nzuri na mwonekano mzuri
 
Nimeanza mda mrefu sana kumsoma huyu dada hajawahi kuwa na majibu ya kuudhi na ni mtulivu wakat wa hatari. Vaislay nmekupenda sana nahitaji uwe mke wangu. Tafadhari sana nipo serious na hili.

75mm UMENIWAHI..!

NLIKUWA NA NDOTO NAE HUYO DADA, YANI NILIKUWA NASUBIRIA LIKIZO KAZINI ILI NIMTAFUTE!!! LAKINI BASI NAWATAKIWA MAISHA MEMA!! ROHO IMENIUMA SANA!
 
Nimeanza mda mrefu sana kumsoma huyu dada hajawahi kuwa na majibu ya kuudhi na ni mtulivu wakat wa hatari. Vaislay nmekupenda sana nahitaji uwe mke wangu. Tafadhari sana nipo serious na hili.

huwezi kuja juzi tu hapa alafu ujifanye unataka mademu za watu.....ivi unazipenda kucha zako ndugu......du, unajua kiutaniutani unaweza kutupiga bao hivihivi.
 
huwezi kuja juzi tu hapa alafu ujifanye unataka mademu za watu.....ivi unazipenda kucha zako ndugu......du, unajua kiutaniutani unaweza kutupiga bao hivihivi.

aisee! Kumbe mke wa mtu
 
Ngoja nicheki na invizibo azimeji Aidii zenu. Naona hapa mnanichezesha shere.

Tutaunganishwa wengi wewe utashangaa jamii wanabaki watu wa 5 tu acha babu tujiachiee
 
Back
Top Bottom