achaga ujinga mkuu hahahahahahahahahaHahahahahaahahahah yaani suruali kama mfuko wa mashineni na mashati mapana ya mikono mirefu halafu wanachomekea upepo ukija yaan suruali na shati vyote vinapepea
Sent using Jamii Forums mobile app
Hhahahaahahahah tatizo huo uvaaji mkuuachaga ujinga mkuu hahahahahahahahaha
Mh wasabato ???Hakuna wanaonivutia katika mavazi kama binti za kilokole au wasabato.
Ha ha haaa! Mkuu umenena kweli hao ndo walokole original...wanapenda kuchanganya rangi nyingi tena za kungaa.
Ukienda kwenye mkutano wa walokole unaweza kudhan makao makuu ya UN maana bendera za kila nchi utaona.
Kwenye viatu ndo hua wananiacha hoi
Kwakweli walokole wanaume hinifurahisha sana vaa yao.
Hupenda mashati ya kung'aa na rangi za kung'aa. Unakuta shati rangi ya zambarau au njano linang'aa na kola pana. Suruali zao nyingi huwa za kushonesha za kitambaa cha kung'aa. Zamani walikuwa wanashona suruali pana kupitiliza chini. Akivaa tai basi katakua kafupi kanene na kakung'aa vilevile.
Viatu wanapenda vyeupe, cheusi au vya rangi mbili. Kiatu kimechongoka kina rangi nyeupe na nyeusi.
Makoti wana ya aina nyingi. Kuna yale makubwa siku hizi hawavai sana, linakuwa linafika magotini. Unakuta nalo upande mmoja jekundu na ungine jeupe au jeusi. Kuna yale yanakuwa na viraka kwenye viwiko na mengine ya kawaida tu ila yanakuwa yanang'aa kama bati.
Ila jamaa huwa wacheshi sana.
Una utani na kaka zake Heaven Sent wewe.mm nimeishi nao miaka dahari unaweza jiuliza hv huyu mzima? hao bado wapo iringa na mbeya utacheka ufe..trauza ukiangalia haraka ova sketi !panaaa...alafu kitambaa kinang'aa zaman nilikua na picha kbs dah sinazo...
@nalendwa nakusabahi.unawasingizia walokole..!!Hizo pigo wasukuma ndo wanavaa
Imebidi tuzoee kusingiziwa aseh...LOL!
Ha ha haaa! Mkuu umenena kweli hao ndo walokole original...wanapenda kuchanganya rangi nyingi tena za kungaa.
Ukienda kwenye mkutano wa walokole unaweza kudhan makao makuu ya UN maana bendera za kila nchi utaona.
Kwenye viatu ndo hua wananiacha hoi
Hizo swaga za akina mabula kabisa.
Jamani!
Na hilo jina sasa, mna dhambi nyie!
Memory card imejaa nyimbo za mwaitegeNa simu zao kwa sasa.-wanaume ni hizi redio zenye simu,inapiga choir na mahubiri ya nabii kama yote kwa nguvu.
Wanawake-wana tecno na itel zilizopasuka screen.