Uzuri wangu sasa umekuwa kero

Uzuri wangu sasa umekuwa kero

Mwanaume hasifiwi sura wala uhandsome, mwanaume anasifiwa shughuli baba unaloooooooo.
Mwanaume anasifiwa kwenda kudeposit au kutoa hela benki babu upooooooo?
 
Tafuta fedha wewe kila unayemtaka utampata NNyambaf, nani kakwambia mwanaume anasifiwa sura. Labda wale wengine.
 
Huyu jamaa atakuwa ni mtoa tigio ee maana anaonekana ana tabia za kike kike.
 
U handsome mwisho form six baada ya hapo ni Unene wa wallet yako unaongea, Sasa kama wewe wallet yako inazid kuwa slim as you grow up watatokea Wawezeshaji wakuwezeshe!
 
Mara nyingi utawasikia
baadhi ya watu wakijirahumu kutokana na kufikiri kuwa sura zao na
maumbo yao kutokuwa na mvuto kwa watu ambao wangependa kuwa nao katika
mahusiano (Mapenzi) lakini kwangu mimi sura yangu na umbo langu sasa
vimenifanya kukosa amani,furaha na uhuru wa kuwa na mahusiano na
nimpendaye na kufikia kusema maneno ya kumkufuru Mungu kwamba labda
alinipendelea alipokuwa ananiumba!!!! kwani nimekuwa nikigombaniwa na
kila msichana na wengine wamekuwa wakinichukia eti kisa sitaki kuwa nao
kimapenzi pia wengine wamekuwa wakinitangaza kuwa mimi ni mchumba wao na
wengine wamekuwa wakiniomba namba za simu na kunipigia wakibembeleza
kuwa na mimi na mbaya zaidi wasichana wengine wamediliki kuanza kutumia
nguvu za giza ili wanipate!! na mambo mengine mengi nimekutanayo mara
baada ya kuingia utu uzima.Jamani nifanye nini ???naomba ushauri
wenu.Naitwa handsome Boy k
ama wao walivyonibatiza!!!!!!!!

We kama ni me una hitilafu nangana na wengine kuwa pengine ni adverts .hakuna mtu humu ndani ambaye ameona kuwa umetoa la maana hapa.Jirekebishe.
 
[QUOTE=KALYANKOZILE; asee pole sana ...sorry kwa lugha yangu lakini naomba nikuulize ..ivi ukikaa hausikii kama "kabaang" yako inawasha ? maana unaweza ukawa tofauti wanaume kama sisi ambao hatuwazi upuuzi.
 
ahahahah!....wewe utakuwa beautifully boy tu...sasa tangazo la biashara lazima liambatane na mawasiliano, basi fanya kutupia japo kanamba hapo ma PIMP waanze kazi.......:majani7:
 
inaonekana bado upo sekondari,ngoja uingie mtaani ndio utajua sura haina ishu kwa mademu, wanaangalia wallet na future tu
 
Nakuasa mwaka huu ukiisha bila kuliwa t.i.g.o sijui; una characteristics zote za mwanamke kujisifia uzuri
 
Dogo achana na swaga za lng time sijui handsome boy,six park,wote huo upumbavu work hard tafuta pesa lasivyo wakukula mkavu.najua utakuwa kaanafunzi ukimaliza shule hakuna atakae taka sura yako labda uolewe,face haijengi ata paka anasura

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForu
 
Tafuta hela ww acha ulofa.mtoto wa kiume miaka hii kujisifia uzuri tutakufikiria si rizki.
 
Wapo pia wanaume wanaotafuta wanaume warembo!
Kweli wanaume ni wachache, wavulana hawataki kukua.
Hivi wewe ni mwanaume gani unajifia sura na umbo?
Haya bwana, biashara matangazo. WatakuPM wanao tafuta wanaume "warembo"
 
Back
Top Bottom