Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,319
- 3,432
Mwacheni jamani ashakoma huyu!!!
Eee.. Mungu baba tunusuru na haya majanga! Mie nilidhani ni mwanadada, kumbe ni Dume zima linajinadi? Nina mashaka kama haupigiwi kupitia 0713......!Mara nyingi utawasikia baadhi ya watu wakijirahumu kutokana na kufikiri kuwa sura zao na maumbo yao kutokuwa na mvuto kwa watu ambao wangependa kuwa nao katika mahusiano (Mapenzi) lakini kwangu mimi sura yangu na umbo langu sasa vimenifanya kukosa amani,furaha na uhuru wa kuwa na mahusiano na nimpendaye na kufikia kusema maneno ya kumkufuru Mungu kwamba labda alinipendelea alipokuwa ananiumba!!!!
Kwani nimekuwa nikigombaniwa na kila msichana na wengine wamekuwa wakinichukia eti kisa sitaki kuwa nao kimapenzi pia wengine wamekuwa wakinitangaza kuwa mimi ni mchumba wao na wengine wamekuwa wakiniomba namba za simu na kunipigia wakibembeleza kuwa na mimi na mbaya zaidi wasichana wengine wamediliki kuanza kutumia nguvu za giza ili wanipate!! na mambo mengine mengi nimekutanayo mara baada ya kuingia utu uzima.Jamani nifanye nini ???
Naomba ushauri wenu. Naitwa handsome Boy kama wao walivyonibatiza!!!!!!!!
we utakuwa bwabwa, inakuwaje unajiita mwanaume mzuri? hivi mwanaume mzuri yukoje? yuko kama demu au?..sijui mwanaume mzuri yukoje, wazuri ni wanawake tu aisee....putuka zako huko usitupotezee muda.Mara nyingi utawasikia baadhi ya watu wakijirahumu kutokana na kufikiri kuwa sura zao na maumbo yao kutokuwa na mvuto kwa watu ambao wangependa kuwa nao katika mahusiano (Mapenzi) lakini kwangu mimi sura yangu na umbo langu sasa vimenifanya kukosa amani,furaha na uhuru wa kuwa na mahusiano na nimpendaye na kufikia kusema maneno ya kumkufuru Mungu kwamba labda alinipendelea alipokuwa ananiumba!!!!
Kwani nimekuwa nikigombaniwa na kila msichana na wengine wamekuwa wakinichukia eti kisa sitaki kuwa nao kimapenzi pia wengine wamekuwa wakinitangaza kuwa mimi ni mchumba wao na wengine wamekuwa wakiniomba namba za simu na kunipigia wakibembeleza kuwa na mimi na mbaya zaidi wasichana wengine wamediliki kuanza kutumia nguvu za giza ili wanipate!! na mambo mengine mengi nimekutanayo mara baada ya kuingia utu uzima.Jamani nifanye nini ???
Naomba ushauri wenu. Naitwa handsome Boy kama wao walivyonibatiza!!!!!!!!
Khaaaa aaahahahahahahaha nimecheka mwenyewe ka chz shibe inahusika vp na urembo wa mtoa uz​shibe inakusumbua
haaa! Mambo gani tena haya! Mwanaume kujisifia sura? Biashara matangazo!
​sidhani ka angekuwa ana njaa angwaza kuleta mada ka hiiKhaaaa aaahahahahahahaha nimecheka mwenyewe ka chz shibe inahusika vp na urembo wa mtoa uz
​sidhani ka angekuwa ana njaa angwaza kuleta mada ka hii