Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

wanaume wengi wanaopenda wanawake natural tipiko ni wabahili ila wanasingizia wanapenda natural . unakuta mke ana nywele natural ila ni kipilipili balaa unafikiri zitakuwa na mvuto? au uso umemjaa chunusi mvuto utatoka wapi? au vikucha vimejikunja, vibaya!. Bwana hata huo unatural usizidi kiwango. na huo urembo unaokuboa wewe ni ule wa kupitiliza, ukikuta ule wa kawaida, mwenyewe utadata.
 
mimi nahisi kama kaka zetu watakuwa hawawafuati wanawake waliojiremba sana sidhani kama kina dada watataka kujiremba mana kutakuwa hakuna mashindano ya urembo
 
Yaani mie huwa najisikia kutapika nikinusa harufa ya nywele zilizopakwa yale madawa. Hata kama mnaenda ku - do ile harufu inamshusha jogoo kabisa. Pia niliwahi kusikia eti wakipaka hayo madawa maji hayaruhusiwi kugusa kichwani sasa si uchafu huo huenda ndo unasababisha ile harufu kaaaliiii kama nanihiiiiiii vile
Aisee em wasimulie hadith za ukweli wajameni.....taap taap 100%
 
Kiukweli kujiremba kiivyo sio "DILI" ndio maana kina dada wa aina hiyo huishia kusaidiwa na mabeki tatu kwani mzee anapoiona ngozi natural ya beki tatu hupagawa. Pia baadhi ya vipodozi hushuka taratibu kwenye K.... kwa njia ya jasho na kuharibu ubora.
 
Natural ni safi sana, Mungu aliyekuumba sio mjinga, utakuta mtu kajiremba utadhani mti wa Christmas!!!
 
ukijiuliza ni kwanini mwanamke ili udo naye ni lazima muwe utupu utapata picha kwamba urembo wa kwanza wa mwanamke ni kibwalabwasi chake hayo mengine ni mahangaiko tu.mambo yote sanduku manyoya bana.
 
Beauty lies in the eyes of the beholder...

- All cats are grey in the dark....
- All women are same and taste the same in the dark...!!
 
Natural ni safi sana, Mungu aliyekuumba sio mjinga, utakuta mtu kajiremba utadhani mti wa Christmas!!!
Hahahahahahaaaaaa uuuuuwiiii jamani embu hamia kwenye jokes bana tujue moja... daa.. nakubaliana nawe 100%
 
a na b yote c usizidishe fanya kwa kiasi utapendeza
she dust her face as the wizard getting lady for the mid night dance
her lips is like growing charcoal
 
Back
Top Bottom