kisugujira
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 774
- 200
Habari wana JF.Je uzuri wa mwanamke ni makalio au maziwa(matiti).?.
Swali hili kwangu ni gumu kidogo au naweza kusema lina utata au ukakasi katika kulijibu. Makalio au matiti ni sehemu ya vikolombwezo vingi alivyopewa mwanamke ili awe hivyo kijinsia na kuleta mvuto hasa wa kimatamanio ya kimwili kwa jinsia ya kiume bila kuacha sura na sauti nyororo kwa wale(wanawake) waliojaariwa kuwa na vitu hivyo. Sasa kimaadili sijui hayo makalio na matiti ndiyo yanoyofaa tu? Hapana, sidhani kama itakuwa ni vyema na haki. Kwa sababu, kimaumbile wanawake ambao ndiyo mama zetu wametofautiana.Vivyo hivyo kwa wanaume. Daima kinachotakiwa ni tabia njema na nzuri. Kuna haja ya kuwauliza wazazi wetu hasa walio na busara juu ya mambo kama hayo kabla ya kutenda. Ashakumu si matusi, makalio na matiti ni vivutio tu vya nje vya mwanamke kwa mwanaume. TAKE CARE!