concious mind
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 1,031
- 668
mi huwa nahic kama naibiwa vile coz mtu aliyekamilika hawezi kuhangaika hivyo huwa nahisi kuna ubovu fulani unafichwa
Ukitaka mwanamke mzuri mvizie wakati anatoka kulala asubuhi na mapema.
heheheheheh aluuu!
One man's meat is another man's fish..sorry poison.
Mtoa mada, we komaa na kuku wa kienyeji tu maana ndio saizi yako.Hao wengine huwawezi.
Baada ya utangulizi ngoja sasa tuwekane sawa:
1. Urembo kwa mwanamke inategemea naye anaelewa nini kuhusu urembo.Wengine hawana aah wala beeh kuhusu urembo na ndio maana hujikandika vipodozi na kukaa na minywele miezi bila kuosha! Nywele za bandia za kushonea za quality nzuri zenye kuoesheka mara kwa mara kama nywele asili ni bei mbaya.Kuna wenye kupenda urembo lakini mambo ya fedha yanagomba.
2. Urembo unaendana na mtu na kwa kipimo, kutegemeana na mtu mahali alipo, au anapokwenda,kazi afanyayo nk.Kazi kwenu kina baba/kaka kuwapa wake/marafiki wenu wa kike support kifedha na ushauri ili waendane na mnavyotaka au kutamani.Huwezi kulalamika tu bila kutafuta suluhu.
3.Wanaume kwa kiasi kikubwa mnawasukuma wanawake kwenda mbali na hata kufanya mambo yenye kuwaletea madhara ili mradi tu mfurahie. Hebu acheni kukimbizia wanawake warembo muone kama wanawake watahangaika hivyo.Mwanaume mwenye mwanamke "natural" hufurahia kupunguza matumizi nyumbani lakini huhangaika sana kuipendezesha nyumba ndogo, Mwisho wa siku mwanamke asilia nyumbani hulaumiwa kwa kujiachia! Mnadhani wanawake wanafurahia kuketi masaa 6 kusukwa au kufanyiwa waxing na mambo mengine yenye kuleta maumivu ya kutisha? ACHENI HIZO WANAUME!
cwakubali wanaojremba thana,napenda k2 nachural,wadhungu wamewaharibu dada zetu kuchukia kpilipili na kuona wigi ndio zuri
mi huwa nahic kama naibiwa vile coz mtu aliyekamilika hawezi kuhangaika hivyo huwa nahisi kuna ubovu fulani unafichwa
........................... Sijui ni ugonjwa au ni jambo ambalo hata wanaume wenzangu huwa linawakumba?