Ndugu zangu, wapenzi wa jukwaa hili,
Leo naleta hoja nzito kidogo. Najua baadhi ya akina dada watakwazika. Kwa hiyo, naomba mnisamehe.
Siku hizi limezuka wimbi la akina dada na hata akina mama kujilemba kwa namna mbalimbali kuanzia rangi ya mwili, nywele, kucha, midomo na wengine wamefikia hatua ya kunywa au kupaka dawa za kichina za kuongeza makalio na maziwa. Wengine wanasuka nywele ndefu na wanaongea kwa mbwembwe huku wanatikisa vichwa vyao na kushikashika nywele kama wafanyavyo wanawake wa kizungu. Wengine wamefikia hatua ya kubadili hata sauti na namna ya kuongea!!
Najua dada zetu wanafanya hivyo kwa lengo la kupendeza na wengine lengo lao ni kuwavutia wanaume. Lakini mimi binafsi sijui ni nini kimenitokea! Inawezekana ndiyo abnomality hiyo. Kadri mwanamke anavyojilemba zaidi ndivyo hamu ya kufanya nae mapenzi inavyopungua.
Ukweli ni kwamba nikilala na mwanamke ambaye ni natural yaani mwenye nywele za kawaida anayesuka mtindo wa 'twende kilioni' au amezibana tu, wowowo, chuchu na sauti natural huwa napata nguvu nyingi za kupanda mlima ikilinganishwa na ninapolala na mwanamke mwenye kucha za bandia, nywele za bandia, na midomo iliyopakwa rangi nyingi.
Sijui ni ugonjwa au ni jambo ambalo hata wanaume wenzangu huwa linawakumba?
Tafadhali karibuni kwa mawazo.
Ndugu zangu, wapenzi wa jukwaa hili,
Leo naleta hoja nzito kidogo. Najua baadhi ya akina dada watakwazika. Kwa hiyo, naomba mnisamehe.
Siku hizi limezuka wimbi la akina dada na hata akina mama kujilemba kwa namna mbalimbali kuanzia rangi ya mwili, nywele, kucha, midomo na wengine wamefikia hatua ya kunywa au kupaka dawa za kichina za kuongeza makalio na maziwa. Wengine wanasuka nywele ndefu na wanaongea kwa mbwembwe huku wanatikisa vichwa vyao na kushikashika nywele kama wafanyavyo wanawake wa kizungu. Wengine wamefikia hatua ya kubadili hata sauti na namna ya kuongea!!
Najua dada zetu wanafanya hivyo kwa lengo la kupendeza na wengine lengo lao ni kuwavutia wanaume. Lakini mimi binafsi sijui ni nini kimenitokea! Inawezekana ndiyo abnomality hiyo. Kadri mwanamke anavyojilemba zaidi ndivyo hamu ya kufanya nae mapenzi inavyopungua.
Ukweli ni kwamba nikilala na mwanamke ambaye ni natural yaani mwenye nywele za kawaida anayesuka mtindo wa 'twende kilioni' au amezibana tu, wowowo, chuchu na sauti natural huwa napata nguvu nyingi za kupanda mlima ikilinganishwa na ninapolala na mwanamke mwenye kucha za bandia, nywele za bandia, na midomo iliyopakwa rangi nyingi.
Sijui ni ugonjwa au ni jambo ambalo hata wanaume wenzangu huwa linawakumba?
Tafadhali karibuni kwa mawazo.
heheheheheh aluuu!
One man's meat is another man's fish..sorry poison.
Mtoa mada, we komaa na kuku wa kienyeji tu maana ndio saizi yako.Hao wengine huwawezi.
Baada ya utangulizi ngoja sasa tuwekane sawa:
1. Urembo kwa mwanamke inategemea naye anaelewa nini kuhusu urembo.Wengine hawana aah wala beeh kuhusu urembo na ndio maana hujikandika vipodozi na kukaa na minywele miezi bila kuosha! Nywele za bandia za kushonea za quality nzuri zenye kuoesheka mara kwa mara kama nywele asili ni bei mbaya.Kuna wenye kupenda urembo lakini mambo ya fedha yanagomba.
2. Urembo unaendana na mtu na kwa kipimo, kutegemeana na mtu mahali alipo, au anapokwenda,kazi afanyayo nk.Kazi kwenu kina baba/kaka kuwapa wake/marafiki wenu wa kike support kifedha na ushauri ili waendane na mnavyotaka au kutamani.Huwezi kulalamika tu bila kutafuta suluhu.
3.Wanaume kwa kiasi kikubwa mnawasukuma wanawake kwenda mbali na hata kufanya mambo yenye kuwaletea madhara ili mradi tu mfurahie. Hebu acheni kukimbizia wanawake warembo muone kama wanawake watahangaika hivyo.Mwanaume mwenye mwanamke "natural" hufurahia kupunguza matumizi nyumbani lakini huhangaika sana kuipendezesha nyumba ndogo, Mwisho wa siku mwanamke asilia nyumbani hulaumiwa kwa kujiachia! Mnadhani wanawake wanafurahia kuketi masaa 6 kusukwa au kufanyiwa waxing na mambo mengine yenye kuleta maumivu ya kutisha? ACHENI HIZO WANAUME!
Ndugu zangu, wapenzi wa jukwaa hili,
Leo naleta hoja nzito kidogo. Najua baadhi ya akina dada watakwazika. Kwa hiyo, naomba mnisamehe.
Siku hizi limezuka wimbi la akina dada na hata akina mama kujilemba kwa namna mbalimbali kuanzia rangi ya mwili, nywele, kucha, midomo na wengine wamefikia hatua ya kunywa au kupaka dawa za kichina za kuongeza makalio na maziwa. Wengine wanasuka nywele ndefu na wanaongea kwa mbwembwe huku wanatikisa vichwa vyao na kushikashika nywele kama wafanyavyo wanawake wa kizungu. Wengine wamefikia hatua ya kubadili hata sauti na namna ya kuongea!!
Najua dada zetu wanafanya hivyo kwa lengo la kupendeza na wengine lengo lao ni kuwavutia wanaume. Lakini mimi binafsi sijui ni nini kimenitokea! Inawezekana ndiyo abnomality hiyo. Kadri mwanamke anavyojilemba zaidi ndivyo hamu ya kufanya nae mapenzi inavyopungua.
Ukweli ni kwamba nikilala na mwanamke ambaye ni natural yaani mwenye nywele za kawaida anayesuka mtindo wa 'twende kilioni' au amezibana tu, wowowo, chuchu na sauti natural huwa napata nguvu nyingi za kupanda mlima ikilinganishwa na ninapolala na mwanamke mwenye kucha za bandia, nywele za bandia, na midomo iliyopakwa rangi nyingi.
Sijui ni ugonjwa au ni jambo ambalo hata wanaume wenzangu huwa linawakumba?
Tafadhali karibuni kwa mawazo.
Ndugu zangu, wapenzi wa jukwaa hili,
Leo naleta hoja nzito kidogo. Najua baadhi ya akina dada watakwazika. Kwa hiyo, naomba mnisamehe.
Siku hizi limezuka wimbi la akina dada na hata akina mama kujilemba kwa namna mbalimbali kuanzia rangi ya mwili, nywele, kucha, midomo na wengine wamefikia hatua ya kunywa au kupaka dawa za kichina za kuongeza makalio na maziwa. Wengine wanasuka nywele ndefu na wanaongea kwa mbwembwe huku wanatikisa vichwa vyao na kushikashika nywele kama wafanyavyo wanawake wa kizungu. Wengine wamefikia hatua ya kubadili hata sauti na namna ya kuongea!!
Najua dada zetu wanafanya hivyo kwa lengo la kupendeza na wengine lengo lao ni kuwavutia wanaume. Lakini mimi binafsi sijui ni nini kimenitokea! Inawezekana ndiyo abnomality hiyo. Kadri mwanamke anavyojilemba zaidi ndivyo hamu ya kufanya nae mapenzi inavyopungua.
Ukweli ni kwamba nikilala na mwanamke ambaye ni natural yaani mwenye nywele za kawaida anayesuka mtindo wa 'twende kilioni' au amezibana tu, wowowo, chuchu na sauti natural huwa napata nguvu nyingi za kupanda mlima ikilinganishwa na ninapolala na mwanamke mwenye kucha za bandia, nywele za bandia, na midomo iliyopakwa rangi nyingi.
Sijui ni ugonjwa au ni jambo ambalo hata wanaume wenzangu huwa linawakumba?
Tafadhali karibuni kwa mawazo.
natural is good huna ugonjwa fuata mwanamke wa hulka yako. kwa sababu kuna mwngine mwanamke asipojiremba akafanana na kinyago hafurahi