Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

Teh..teh...teh...teh...tabia njema bila kusahau usafiri wa kunitosha mm mwenyewe pamoja na paja la uwakika.
 
what a big booooooooooooooooooooty! uwiiiiiiiiiiii, jaman jam jaman msizungumzie iz mambo aiseeeeeee! kalio kalio
 
Wote ni wazuri ndio maana wanaolewa na wanaishi na wanaume, unajua mpaka umkwee ni lazima kuna sifa umeiona sasa ni yupi hajawahi kupitiwa mpaka azeeke?
mwisho MWANAMKE UZURI WAKE UKO KATIKA ROHO YAKO, KWA JINSI ANAVYOKUJALI NA WW KUMJALI, ukiambiwa ni nani Mrembo hapa duniani ni MKEO kwani anajua unakula nini, umeliibia Kampuni gani ukatajirika! uanbamizwa na wenzako yaani yopte hayo anakufichia unataka tena mwenye liwowowq jamaa yangu SIRI yote kesho hadaharani
 
Wote ni wazuri ndio maana wanaolewa na wanaishi na wanaume, unajua mpaka umkwee ni lazima kuna sifa umeiona sasa ni yupi hajawahi kupitiwa mpaka azeeke?
mwisho MWANAMKE UZURI WAKE UKO KATIKA ROHO YAKO, KWA JINSI ANAVYOKUJALI NA WW KUMJALI, ukiambiwa ni nani Mrembo hapa duniani ni MKEO kwani anajua unakula nini, umeliibia Kampuni gani ukatajirika! uanbamizwa na wenzako yaani yopte hayo anakufichia unataka tena mwenye liwowowq jamaa yangu SIRI yote kesho hadaharani

Ni sehemu gani ya mwili wa binadamu inaitwa ROHO? Au ulitaka kusema MOYO?
 
Sure kila mtu ana criteria yake katika kuchagua mwenza ila...to my point of view kwa dunia yetu ya sasa physical features za mdada dont matta anymo kwasababu hivyo vitu 'vikubwa vikubwa' kama 'liwowo' na 'li-usafiri' mchina anavi-provide so mwisho wa siku ukishamzalisha anakuwa kama bibi then unaanza kuhangaika kwa vi-portable sasa.
 
In general terms a woman beuty lies on her face,huu ni mtizamo wangu tu.
 
Kwangu awe na sura yenye mvuto yaan nikimwangalia tu signals divice inkuwa activated.
 
mimi napenda mwanamke mwenye dimpoz kwenye makalio!over!
 
Dont judge a book by its cover..... engine mwanangu ndo mambo yote.. vingine ni "supporting documents" tu!!
 
Back
Top Bottom