Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

Wewe ni mzuri sana my dear, uzuri wako siwezi usema mbele ya hawa member. Ngoja waishie kuangalia nyusi zako teh!
Mmhhhh Gagu njoo hapa basiNikuwekee lips zangu sikioniMwako nina neno tamu la kukunong'oneza...Mmmmhhhhhhhhh
 
Mmhhhh Gagu njoo hapa basiNikuwekee lips zangu sikioniMwako nina neno tamu la kukunong'oneza...Mmmmhhhhhhhhh
Mmmh! Jamani neno gani tena afro? Angalia lizzy asijetusikia teh! Si unajua ndie kiranja wa MMU?!
 
Uzuri wa mwanamke uko kwa anaetazama pia kwenye hisia za anaetazama na kuukubali uzuri huo.Chuki...hasira hua vinafanya watu wasione uzuri wa mtu/kitu fulani...wakati mwingine hata kama uzuri unaonekana lazima mabaya yataonekana yamezidi hivyo kulemea na hata kupoteza uzuri wote.Mapenzi hua yanawafanya wengi waone mazuri zaidi ya mabaya.Mtu anaposema uzuri wa mwanamke uko kwenye tabia..sura..umbo na kadhalika ukweli unakuwepo ila vyote vinapingika.Yote inategemea na yule mtazamaji ambae anaeamua fulani ni mzuri au la...kila mmoja kwa wakati na vigezo vyake.Ndio maana unaweza kutana wapenzi ukajiuliza huyu dada/kaka kafuata nini kwa aliyenae ilhali mi namjua ana tabia mbaya sana ila umbo ni zuri....au mbona hata sura na umbo halilipi bali tabia yake inakubalika?!Yote hii inatokana na utofauti kati yetu.Na ndio maana kuna baadhi utawasikia wakisema mara sijui wanawake wazuri kwa umbo hawaolewe/oleki japo sio kweli.Wengi tu wameolewa hata wenye tabia nzuri maana wapo wanaune ambao sura na umbo ni namba moja kwao...wale unaoweza kuwaita ni wabaya nao wapo wasioolewa japo tabia zao ni nzuri sana.Kwa kumalizia nasema...uzuri wa yeyote awe mwanamke au mwanaume upo kwenye macho na hisia za mtazamaji!
That's our Lizzy, akiamua kitu teh hutenda! Nimependa comments zako lizzy, umenipa kitu flan unique kwa explanations zako, bt kuna kitu umenichanganya hapa, umesema "Uzuri wa yoyote awe mwanamke au mwanaume upo machoni mwa mtazamaji" hapa sijapaelewa!
 
unanikumbusha wimbo fulani wa zamaniiii ...'uzuri si hoja tabia njema ni silaha utapendwa popoteee ..." lakini haya ni kwa ajili ya mwanamke ambaye unataka kuwa nae kwenye serious relationship kama ndoa, lakini kwa wale ambao ni wakutambia tu barabarani, disko na mwishlo kuishia guestt house a.k.a nyumba za wenyeji basi sifa za makalio marefu, miguu ya bia, shingo za upanga, macho gololi n.k. ndio mahala pake.
Halafu nyimbo za zamani zilikua zinafunza kweli, watu (wanawake/wanaume)walikuwa wanafundwa kwa maneno ya hizo nyimbo.. Kwa sasa duh! Nyimbo zote zimejaaa kujisia na vimaneno ya kipumbafu! Kweli old is gold...
 
walosema nimetulia ndio magrt thinkers wa ukweli. Kuna tetesi umekatorosha kapaseli, naomba ukarudishe kabla hakajakuchafulia hali ya hewa huko.
Teh! Teh! Teh! Nyie mmepinda, naona vinyota nyota vya kopa machoni mwenu!
 
Lizzy hebu punguza ukali jamani, mie nilidhani unanikalipiaga mie tu kumbe wote.....
huyu ndie KIRANJA bhana! Ila comments zake hutoa changamoto kwetu, Lizzy anajua kuucheza vyema huu mchezo wa humu MMU! she is among those who runs the forum!
 
That's our Lizzy, akiamua kitu teh hutenda! Nimependa comments zako lizzy, umenipa kitu flan unique kwa explanations zako, bt kuna kitu umenichanganya hapa, umesema "Uzuri wa yoyote awe mwanamke au mwanaume upo machoni mwa mtazamaji" hapa sijapaelewa!
Nimemaanisha kwamba hata kwa upande wa wanaume ni hivyo hivyo.If i like a guy i‘ll find him handsome in his own way japo watu wengine waweza wakawa wanamsema mshkaji anatisha.Mchukue 50cent na Ja rule for instance...binafsi nawafagilia sana na hua nafikiria wana sura nzuri za kiume na sio walaini laini kama kina Craig David ila wapo watu wengi wanawake kwa wanaume wanaowaita hawa wawili WABAYA.Wengine kwasababu hawawapendi na wengine kwasababu huo ubaya kwao!
 
uzuri wa mwanamke ni taBIA1 TABIA NZURI NDO KIGEZO CHA KWANZA.VINGINE VYOTE VITAEGEMEA HAPO.
Natumai hata wewe umeisha jiuliza hili swali, sasa kwa pamoja tujadili, na tuafikiane juu ya uzuri wa mwanamke. Swali hapa ni: "je uzuri wa mwanamke upo wap? Ni upi?" je ni mbele? Nyuma? Juu? Chin? Katikati? Ndani? Nje? Or? Kifupi binafsi cjaelewa. ukitaka jibu kwa ufasaha hebu make ur imaginatios kwa mke/mpenz wako, hususani penzi lako kwake!
 
Nimemaanisha kwamba hata kwa upande wa wanaume ni hivyo hivyo.If i like a guy i‘ll find him handsome in his own way japo watu wengine waweza wakawa wanamsema mshkaji anatisha.Mchukue 50cent na Ja rule for instance...binafsi nawafagilia sana na hua nafikiria wana sura nzuri za kiume na sio walaini laini kama kina Craig David ila wapo watu wengi wanawake kwa wanaume wanaowaita hawa wawili WABAYA.Wengine kwasababu hawawapendi na wengine kwasababu huo ubaya kwao!
Nimekusoma mkuu Lizzy! Thanks yangu inafuata!
 
Wakuu habari ya Jumatatu,
Kila mtu hapa duniani ana namna yake ya kuthaminisha kitu. Lakini kuna standards ambazo ni universal. Sasa mtu anaposema mwanamke fulani ni mzuri huwa anaangalia nyanja zipi? Kwa mfano utakuta mtu anamwona mwanamke kwa mara ya kwanza na bado anasema dah, mwanamke yule mzuri kweli.
Je uzuri wa mwanamke ni nini?

Happy Blue Monday:tea:
 
Back
Top Bottom