Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

Siri yangu na aijuaye ni yeye pekeee!!!
Pia usichanganye UZURI na UREMBO!! wadada wengi siku hizi ni warembo tu!!!
 
Inategemea unataka kuoa au kuchezea!kama wa kuoa ni tabia, wakupiga tu mara moja moja kuna vitu vingi sana vya kuangalia binafsi napenda sana wenye bodi kubwa na wanao vaa shanga.

kila unayemtaka inabidi umwulize kwanza.
 
Uzuri wa mwanamke inategemea na kigezo cha mtu,kwa harakaharaka wengi huwa tunaangalia sura,umbile,mavazi,na mwonekano mwingine wa nje,wengine huangalia mashine(K),NK,ILA UZURI WAMWANAMKE NI TAABIA YAKE
 
uzuri wa mwanamke ni masaburi yake.....kama uzuri wa nyumba ni choo ilivyo haloooo!
 
Masaburi<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/clap2.gif" border="0" alt="" title="Clap2" smilieid="149" class="inlineimg" />
<br />
<br />
hahahaha! Nilikuwa nalitafuta hili jibu. Babu na wewe una masaburi?
 
uzuri wa mwanamke ni kufuga kucha ndefu zinazomshinda kusafisha,kuvaa mawigi hadi yanuke,kujichubua afanane na mzungu,kua na nyodo,kujinunisha,kupaka rangi tofauti mdomoni na machoni,kuvaa kimin chenye mpasuo,kutooga bali kunawa uso,miguu na mikono,kuwa na lugha chafu,kunuka kikwapa,kutonyoa,kujishaua,kujifanya matawi ya juu wakati yeye matawi ya chini,kushinda club analewa,nk.hizi ni baadhi ya sifa mbaya.mia
vampire
 
Uzuri Wa mwanamke uko ndani ya kichwa chako...na wala sio, rangi, maumbile etc...jibu unalo mwenyewe Kwani unachokiona wewe kizuri ndani ya kichwa chako si lazima Mimi nikione kizuri ndani ya kichwa changu.
 
uzuri wa mwanamke ni kufuga kucha ndefu zinazomshinda kusafisha,kuvaa mawigi hadi yanuke,kujichubua afanane na mzungu,kua na nyodo,kujinunisha,kupaka rangi tofauti mdomoni na machoni,kuvaa kimin chenye mpasuo,kutooga bali kunawa uso,miguu na mikono,kuwa na lugha chafu,kunuka kikwapa,kutonyoa,kujishaua,kujifanya matawi ya juu wakati yeye matawi ya chini,kushinda club analewa,nk.hizi ni baadhi ya sifa mbaya.mia

mbona unatusema wadada wa mujiniii????wacha gubu mwanaume wewee.....
 
Uzuri wa mwanamke inategemea na kigezo cha mtu,kwa harakaharaka wengi huwa tunaangalia sura,umbile,mavazi,na mwonekano mwingine wa nje,wengine huangalia mashine(K),NK,ILA UZURI WAMWANAMKE NI TAABIA YAKE

Utavijuaje hivyo vitu at a very first sight.
 
<span style="font-family: trebuchet ms"><font color="#800000">Siri yangu na aijuaye ni yeye pekeee!!!<br />
Pia usichanganye UZURI na UREMBO!! wadada wengi siku hizi ni warembo tu!!!</font></span>
<br />
<br />
Angalau Kuna kitu hapa!
 
UKIONA MWANAMKE KANUNA KILA SIKU UJUE, ANA MUME KIMEO. imedhibitishwa na shirika la viwango vya ndoa
women.jpg
 
Nakataa hiyo tittleya ya uzuri wa mwanamkee macho ya mumewe

Tusioneane aibu hapa:Uzuri ni indefinate parameter ila generalization inaruhusika
Mfano:Mtaani watu husifu binti wa mzee fani ni mzuri au Marytina ni mzuri ni kauli za kawaida mtaani kwetu

SUITABILITY ya mwanamke aijuaye mmewe ila uzuri unajidhihirisha on first appearance
 
UKIONA MWANAMKE KANUNA KILA SIKU UJUE, ANA MUME KIMEO. imedhibitishwa na shirika la viwango vya ndoa

Haswaaa hivi kwa nini nyakati za asubuhi na jioni ukiona kwenye gari mme na mke wamenuna?/ wamenuniana?
 
Back
Top Bottom