Uzuri na ukubwa wa Jiji la Nairobi

Hiyo ya kuongeza mipaka hata sisi tunaweza tena tukafanya dar es salaam kubwa 50000 km sq feki thing ukweli ni kuwa Nairobi ni ndogo unajulikana dunia nzima ndiomaana wote wageni wanao kuja mijiyete wanaitaja Dar kuwa ni jiji kubwa wala siyo Nairobi
Sio kuongeza tu mipaka bradhee, inaitwa metro - the total built up area of a city. Sasa Dar es Salaam haijakamilika kujengwa ndani ya mipaka utaongezaje sehemu ziko nje ya mipaka?
 
Weka kumbukumbu sawa kwa kuelezea meaning ya metropolitan.
Wacha nikupe mfano maanake you are a slow thinker.

Paris is considered the 5th largest city in European Union (including UK) behind London, Berlin, Madrid and Rome.

Paris is however second only to London when it comes to the total metropolitan Area and metropolitan population.

This means, the built-up area within city limits of Berlin, Madrid and Rome are bigger than Paris but the total built up area beyond city limits of paris is bigger than the three.

Ndio hivyo ilivyo Nairobi na Dar. Dar ni kubwa as a city within it's city limits ila Nairobi extends more beyond it's city limits. Wacha nikupe mfano wa picha - Wakazi wa hizi nyumba unazoziona hapa hawakuhesabiwa kuwa Nairobi kwa sensa ya mwaka huu yet they are part of the Nairobi Metropolis.
whwhwifqpezohi55ba12ae94b4f.jpg
 
Nadhani alimaanisha 3,200 sq. km. Shida ya wabongo kosa la typing error mtaligeuza kuwa ndicho kinachojadiliwa.
Sio typo, size kamili ya Nairobi Metro ni 32,715 sq kms. Kuna mtu ameweka 'breakdown' ya sekta zote tano za Nairobi metro. Core Metro, Northern, North Eastern, Southern na Eastern Metro.
 
Kwa hiyo Nairobi ni hadi Namanga ktk jimbo (county) ya Kajiado mpakani na Tanzania.

Kweli wenzetu hawa majirani ni wajivuni sana.
Sio hadi Namanga, 'marker' ya kwanza ya Nairobi Metro utaipata kwa 'weighbridge' ya kwanza, kwenye barabara ya Nairobi-Namanga ukifika Isinya town. Ukipita town yenyewe utaanza kuona msururu wa viwanda vingi kwasababu sekta hiyo ya Nairobi Metro ni 'industrial'. Wakenya ni 'wajivuni' kivipi wakati nyinyi ndio mmetangulia kwa kusema kwamba size ya Nairobi ni sawa na Kariakoo?
 
Duu hesabu ni common disease hivi unajua 32 km square inachukuwa ukubwa upi ? au unaropoka
Yaan hesabu ni janga la dunia yaan hata hesabu ndogo kama hizo hajui inasikitishana sana
Huyu jamaa sijui anasoma alichoandika. Total area ya kenya yote ni 580,367
Halafu anatuambia Nairobi ni 32,000.
Ukipiga hesabu maana yake ni
32,000/580367x100 unapata 5.5%.
Inamaana Nairobi ni 5.5% ya total area ya nchi ya kenya.Huu upuuzi hatuwezi kuuvumilia.
Mnaruka ruka tu bila fomular. Mimi nimewaelezea uhalisia wa mambo kama yalivyo. Nairobi METRO ni 32,715 sq kms. Kama mnaona nimekosea leteni takwimu zenu tofauti za Nairobi Metro. Hayo mengine ya sijui hesabu zilifanya nini ni hisia zenu tu.
 
Mnaruka ruka tu bila fomular. Mimi nimewaelezea uhalisia wa mambo kama yalivyo. Nairobi METRO ni 32,715 sq kms. Kama mnaona nimekosea leteni takwimu zenu tofauti za Nairobi Metro. Hayo mengine ya sijui hesabu zilifanya nini ni hisia zenu tu.


Yaan wewe dishi la satelite yako limeyumba kweli nyie ndio wale wanafunzi ktk mtihani unaambiwa write T for correct statement ww unakurupuka unaandika TRUE tena kwa herufi kubwa lazima ufeli
Mtoa mada ameongelea Nairobi county ww bila kusoma kichwa cha habari unaleta Nairobi Metro
 
Yaan wewe dishi la satelite yako limeyumba kweli nyie ndio wale wanafunzi ktk mtihani unaambiwa write T for correct statement ww unakurupuka unaandika TRUE tena kwa herufi kubwa lazima ufeli
Mtoa mada ameongelea Nairobi county ww bila kusoma kichwa cha habari unaleta Nairobi Metro
Mbona unajiita Shetani? Unajua unachotaka ndicho utakachopata? Unajua unaeza patana naye leo usiku kitandani? Tumche Mungu.
 
Wacha nikupe mfano maanake you are a slow thinker.

Paris is considered the 5th largest city in European Union (including UK) behind London, Berlin, Madrid and Rome.

Paris is however second only to London when it comes to the total metropolitan Area and metropolitan population.

This means, the built-up area within city limits of Berlin, Madrid and Rome are bigger than Paris but the total built up area beyond city limits of paris is bigger than the three.

Ndio hivyo ilivyo Nairobi na Dar. Dar ni kubwa as a city within it's city limits ila Nairobi extends more beyond it's city limits. Wacha nikupe mfano wa picha - Wakazi wa hizi nyumba unazoziona hapa hawakuhesabiwa kuwa Nairobi kwa sensa ya mwaka huu yet they are part of the Nairobi Metropolis.
whwhwifqpezohi55ba12ae94b4f.jpg
Built up area my foot.. wewe siyo slow thinker wewe ni non thinker! Wewe umeshawahi kufika Dar? Niambie sehemu gani ya Dar ambayo haija jengeka! Watu wana ishi Bagamoyo na Moro achilia mbali Kibaha, Chalinze na Mlandizi na kazi wanafanyia Dar. Hapo Nai ata CBD kuna vichaka Kama kigezo nikuwa built beyond city limits, Kenya itakavyo zidi kujengeka kuna siku mtasema Kenya yote ni sehemu ya Nairobi Metropolitan shit.

Nilimwambia mwenzako aweke kumbukumbu sawa kwa kudefine metropolitan wewe kwa ujinga umeleta porojo. Dar is bigger than Nai you should give up already, ata mkileta siasa za metropolitan na Dar pia ina metropolitan. So take Dar + Coastal region+ Morogoro then compare na hiyo Nai metropolitan. Tatizo lenu Wakenya mnahisi nyinyi ndiyo mna deserve kila sifa nzuri hapa E.A.
images-17.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_20190911-095821.jpeg
    Screenshot_20190911-095821.jpeg
    45.9 KB · Views: 16
Wacha nikupe mfano maanake you are a slow thinker.

Paris is considered the 5th largest city in European Union (including UK) behind London, Berlin, Madrid and Rome.

Paris is however second only to London when it comes to the total metropolitan Area and metropolitan population.

This means, the built-up area within city limits of Berlin, Madrid and Rome are bigger than Paris but the total built up area beyond city limits of paris is bigger than the three.

Ndio hivyo ilivyo Nairobi na Dar. Dar ni kubwa as a city within it's city limits ila Nairobi extends more beyond it's city limits. Wacha nikupe mfano wa picha - Wakazi wa hizi nyumba unazoziona hapa hawakuhesabiwa kuwa Nairobi kwa sensa ya mwaka huu yet they are part of the Nairobi Metropolis.
whwhwifqpezohi55ba12ae94b4f.jpg
Hapo umeeleweka, kwahiyo sasa hiyo metropolitan haipo kiserikali zaidi kwa maana ya kua na either governor au mtu aongozaye...

kama hakuna, hiyo NBO metropolitan ni kama tuu status ambayo haina faida yoyote kwa nchi ama?
 
Built up area my foot.. wewe siyo slow thinker wewe ni non thinker! Wewe umeshawahi kufika Dar? Niambie sehemu gani ya Dar ambayo haija jengeka! Watu wana ishi Bagamoyo na Moro achilia mbali Kibaha, Chalinze na Mlandizi na kazi wanafanyia Dar. Hapo Nai ata CBD kuna vichaka Kama kigezo nikuwa built beyond city limits, Kenya itakavyo zidi kujengeka kuna siku mtasema Kenya yote ni sehemu ya Nairobi Metropolitan shit.

Nilimwambia mwenzako aweke kumbukumbu sawa kwa kudefine metropolitan wewe kwa ujinga umeleta porojo. Dar is bigger than Nai you should give up already, ata mkileta siasa za metropolitan na Dar pia ina metropolitan. So take Dar + Coastal region+ Morogoro then compare na hiyo Nai metropolitan. Tatizo lenu Wakenya mnahisi nyinyi ndiyo mna deserve kila sifa nzuri hapa E.A.View attachment 1204193
Mlandizi. Hahaha nani hao walikuwa wanakula ndizi huko hadi eneo likaitwa Mlandizi?
 
Built up area my foot.. wewe siyo slow thinker wewe ni non thinker! Wewe umeshawahi kufika Dar? Niambie sehemu gani ya Dar ambayo haija jengeka! Watu wana ishi Bagamoyo na Moro achilia mbali Kibaha, Chalinze na Mlandizi na kazi wanafanyia Dar. Hapo Nai ata CBD kuna vichaka Kama kigezo nikuwa built beyond city limits, Kenya itakavyo zidi kujengeka kuna siku mtasema Kenya yote ni sehemu ya Nairobi Metropolitan shit.

Nilimwambia mwenzako aweke kumbukumbu sawa kwa kudefine metropolitan wewe kwa ujinga umeleta porojo. Dar is bigger than Nai you should give up already, ata mkileta siasa za metropolitan na Dar pia ina metropolitan. So take Dar + Coastal region+ Morogoro then compare na hiyo Nai metropolitan. Tatizo lenu Wakenya mnahisi nyinyi ndiyo mna deserve kila sifa nzuri hapa E.A.View attachment 1204193
Dar ni kubwa lakini Nairobi ina utajiri mwingi na viwanda vingi kushinda Dar. Hiyo pia utapinga thisdayes?
 
Huyu jamaa sijui anasoma alichoandika. Total area ya kenya yote ni 580,367
Halafu anatuambia Nairobi ni 32,000.
Ukipiga hesabu maana yake ni
32,000/580367x100 unapata 5.5%.
Inamaana Nairobi ni 5.5% ya total area ya nchi ya kenya.

Huu upuuzi hatuwezi kuuvumilia.
Wabongo kwenye ubora wetu
 
tatizo ni kuwa dar is slum kama jiji bado halijajengwa vya kutosha. sijawai sikia dar is slum metro. papo hapo ndani ya jiji la dar is slum bado utakuta misitu na mashamba kama kijijini vile. watu wanaishi kana kwamba bado wako mashambani wanalima miwa na mihogo.
Dar imeingiaje kwenye huu Uzi Mkuu... ?
 
Sio kuongeza tu mipaka bradhee, inaitwa metro - the total built up area of a city. Sasa Dar es Salaam haijakamilika kujengwa ndani ya mipaka utaongezaje sehemu ziko nje ya mipaka?
Kwaiyo Newyork aijajengeka ndiyo maana ukubwa wake ni uleule?
 
Back
Top Bottom