Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,673
- 59,771
Kumbe wakenya wakurupukaji. Nadhani umekurupuka kujibu bila kusoma.Ambia akina eliakeem na joto la jiwe wanaoshinda wakisema Nairobi ni mji mdogo.
Kumbe wakenya wakurupukaji. Nadhani umekurupuka kujibu bila kusoma.Ambia akina eliakeem na joto la jiwe wanaoshinda wakisema Nairobi ni mji mdogo.
Nimeona sasa ni mtu hajielewi nikadelete comment yenyewe. Hajielewi kabisa.Kumbe wakenya wakurupukaji. Nadhani umekurupuka kujibu bila kusoma.
Nadhani alimaanisha 3,200 sq. km. Shida ya wabongo kosa la typing error mtaligeuza kuwa ndicho kinachojadiliwa.Anaongelea sq km buda, ya kwako ume exaggerate
Huyu jamaa sijui anasoma alichoandika. Total area ya kenya yote ni 580,367
Halafu anatuambia Nairobi ni 32,000.
Ukipiga hesabu maana yake ni
32,000/580367x100 unapata 5.5%.
Inamaana Nairobi ni 5.5% ya total area ya nchi ya kenya.
Huu upuuzi hatuwezi kuuvumilia.
Sasa mtu anaanzisha uzi bila maelezo kamili utadhani yupo mawindoni, ndani kabisa porini. Anamaanisha Nairobi CBD, Nairobi County ama jiji lenyewe kwa ujumla? Jiji la Nairobi sasa hivi ni Metropolis. Nairobi Metropolis imekua hadi ikavuka mipaka ya hapo awali, ya gatuzi la Nairobi, yaani ule mkoa wa zamani. Nairobi Metropolis ni 32,000 square kilometres.
umeambiwa Nairobi Metro. inaonekana hata shuleni ulikuwa mweupe kichwani.Huyu jamaa sijui anasoma alichoandika. Total area ya kenya yote ni 580,367
Halafu anatuambia Nairobi ni 32,000.
Ukipiga hesabu maana yake ni
32,000/580367x100 unapata 5.5%.
Inamaana Nairobi ni 5.5% ya total area ya nchi ya kenya.
Huu upuuzi hatuwezi kuuvumilia.
tatizo ni kuwa dar is slum kama jiji bado halijajengwa vya kutosha. sijawai sikia dar is slum metro. papo hapo ndani ya jiji la dar is slum bado utakuta misitu na mashamba kama kijijini vile. watu wanaishi kana kwamba bado wako mashambani wanalima miwa na mihogo.
Kila mtu anajua kenya ni headquarter za slums Africa
Slum kila kona kila county.
Area | County | Area (km2) | Population Census 2017 | Cities/Towns/Municipalities in the Counties |
---|---|---|---|---|
Core Nairobi | Nairobi County | 694.9 | 4,000,000 | Nairobi |
Northern Metro | Kiambu County | 2,449.2 | 1,623,282 | Kiambu, Thika, Limuru, Ruiru, Karuri, Kikuyu, Ruaka, Kahawa and Githunguri |
North Eastern Metro | Murang'a County | 2,325.8 | 942,581 | Gatanga, Kandara, Kenol/Kabati, Murang'a |
Southern Metro | Kajiado County | 21,292.7 | 687,312 | Kajiado, Olkejuado, Bissil, Ngong, Kitengela, Kiserian, Ongata Rongai |
Eastern Metro | Machakos County | 5,952.9 | 1,098,584 | Kangundo-Tala, Machakos, Athi River |
Totals | Nairobi Metro | 32,715.5 | 7,490,128 |
NairobiWalker njoo usaidie ndugu zako.umeambiwa Nairobi Metro. inaonekana hata shuleni ulikuwa mweupe kichwani.
Nairobi Metro area is 32,000sqkm
Remember Dar es Salaam is 1500 sq. kmNairobiWalker njoo usaidie ndugu zako.
Wewe umejaribu kurekebisha kwa kusema typing error. Vipi kuhusu hii bodaboda!?
The usual mad man of the Jamii House.Nairobi haina haja ya kupanda usafiri ni kutembea tu na mguu unaimaliza yote chap
Imagine somebody starting a thread to expose their ignorance?Where has JF got all these deliquescence starting nonsensical threads left right and centre.Hawana cha kufanya majibwa kama hayo?
Wai Uhuru park haraka sana !!! Nimara ngapi tumewaambia kuvutia bangi chooni ni hatari cheki sasa bado mnaendelea kuvutia bangi kibera !! The yujiii toiletiiiKabla ya kuanza ubishi wa kipuuzi ungejielimisha kuhusu Metropolis, metropolitan na vitu kama hivyo. Sina la ziada.
Hiyo ya kuongeza mipaka hata sisi tunaweza tena tukafanya dar es salaam kubwa 50000 km sq feki thing ukweli ni kuwa Nairobi ni ndogo unajulikana dunia nzima ndiomaana wote wageni wanao kuja mijiyete wanaitaja Dar kuwa ni jiji kubwa wala siyo NairobiNadhani alimaanisha 3,200 sq. km. Shida ya wabongo kosa la typing error mtaligeuza kuwa ndicho kinachojadiliwa.
Kwanza sisi tuna jua Dar na Nai hiyo slum Mpya ya metropoli watajuana nayo wenyeweNairobiWalker njoo usaidie ndugu zako.
Wewe umejaribu kurekebisha kwa kusema typing error. Vipi kuhusu hii bodaboda!?
Wow , this is your complete ignorance showing kuonyesha kweli wewe hauna elimu.Hiyo ya kuongeza mipaka hata sisi tunaweza tena tukafanya dar es salaam kubwa 50000 km sq feki thing ukweli ni kuwa Nairobi ni ndogo unajulikana dunia nzima ndiomaana wote wageni wanao kuja mijiyete wanaitaja Dar kuwa ni jiji kubwa wala siyo Nairobi