Uzuri na ukubwa wa Jiji la Nairobi

Dar ni kubwa lakini Nairobi ina utajiri mwingi na viwanda vingi kushinda Dar. Hiyo pia utapinga thisdayes?
Hilo unaweza kuniletea ushahidi, mimi siwezi kukataa ukweli kama baadhi yenu humu. BTW Dar siku hizi viwanda havijengwi sana, Coastal region ndiyo kumetengwa kwa ajili ya viwanda. Huko maviwanda kila siku yanajengwa ila wafanyakazi wana ishi Dar.
 
Yaan wewe dishi la satelite yako limeyumba kweli nyie ndio wale wanafunzi ktk mtihani unaambiwa write T for correct statement ww unakurupuka unaandika TRUE tena kwa herufi kubwa lazima ufeli
Mtoa mada ameongelea Nairobi county ww bila kusoma kichwa cha habari unaleta Nairobi Metro
Sina muda wa kubishana na vichaa, ni wapi hapo kwenye kichwa cha uzi ambapo wametaja County?
 
Unatoa kauli hiyo kwa mamlaka uliyopewa na wakazi wa Kajiado.

Can you see the end of these buildings?

mNv5mTO.png
 
Inasemekana Nairobi kwa eneo INA sq.km karibia 600 sawana jiji LA London ,ila Nairobi INA wakazi mil. 4.5.na London INA wakazi 10 milion Daressalaam INA eneo LA Mara tatu ya hiyo mini (sq
.km 1560) na INA wakazi mil. 5.5) Tafsiri yake dar imejengwa haina gorfa nyingi kama Nairobi na London. Kule wamejenga kwenda Juu na dar ni kila MTU na nyumba yake anayodhani inamtosha
Kwa maana nyingine dar haina ghorofa nyingi kama Nairobi , atakaelpinga aende google kwa facts
 
Inasemekana Nairobi kwa eneo INA sq.km karibia 600 sawana jiji LA London ,ila Nairobi INA wakazi mil. 4.5.na London INA wakazi 10 milion Daressalaam INA eneo LA Mara tatu ya hiyo mini (sq
.km 1560) na INA wakazi mil. 5.5) Tafsiri yake dar imejengwa haina gorfa nyingi kama Nairobi na London. Kule wamejenga kwenda Juu na dar ni kila MTU na nyumba yake anayodhani inamtosha
Kwa maana nyingine dar haina ghorofa nyingi kama Nairobi , atakaelpinga aende google kwa facts
Wewe unatumia akili tatizo Wabongo wengi humu wanatumia makalio kufikiria.
 
Githeri na sukuma wiki si msosi..ndo maana ikaitwa sukuma wiki..hujui maana Ake


Usijidanganye umetafuna githeri eti umegonga msosi!!!!😂😂😂
Sikujua githeri na sukuma ni mavi ya kuku. Nimejifunza kitu leo. Asante.
 
Back
Top Bottom