pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Dar hata haijafikia hatua ya kuwa metropolis.Dar metropolis is smaller than Nairobi metropolis.
Dar hata haijafikia hatua ya kuwa metropolis.Dar metropolis is smaller than Nairobi metropolis.
Hilo unaweza kuniletea ushahidi, mimi siwezi kukataa ukweli kama baadhi yenu humu. BTW Dar siku hizi viwanda havijengwi sana, Coastal region ndiyo kumetengwa kwa ajili ya viwanda. Huko maviwanda kila siku yanajengwa ila wafanyakazi wana ishi Dar.Dar ni kubwa lakini Nairobi ina utajiri mwingi na viwanda vingi kushinda Dar. Hiyo pia utapinga thisdayes?
Sina muda wa kubishana na vichaa, ni wapi hapo kwenye kichwa cha uzi ambapo wametaja County?Yaan wewe dishi la satelite yako limeyumba kweli nyie ndio wale wanafunzi ktk mtihani unaambiwa write T for correct statement ww unakurupuka unaandika TRUE tena kwa herufi kubwa lazima ufeli
Mtoa mada ameongelea Nairobi county ww bila kusoma kichwa cha habari unaleta Nairobi Metro
Unatoa kauli hiyo kwa mamlaka uliyopewa na wakazi wa Kajiado.Dar hata haijafikia hatua ya kuwa metropolis.
Unatoa kauli hiyo kwa mamlaka uliyopewa na wakazi wa Kajiado.
Hapana, wa Nairobi Metropolis.Unatoa kauli hiyo kwa mamlaka uliyopewa na wakazi wa Kajiado.
Acha uongo wewe... metropolis ya wapi??.. nairobi metro is just on papers and plans,not yetKabla ya kuanza ubishi wa kipuuzi ungejielimisha kuhusu Metropolis, metropolitan na vitu kama hivyo. Sina la ziada.
Hakuna nairobi metro acheni kuongopea watu..nyie ndo slums za mathare huita estate...umeambiwa Nairobi Metro. inaonekana hata shuleni ulikuwa mweupe kichwani.
Nairobi Metro area is 32,000sqkm
Nenda kawaongopee jamaa zako wa mukuru kayaba,huku huwezi kumdanganya mtu bwana mido inkamu a.k.a tajiri njaa mobWewe mjamaa wa LDC nyamaza hapo ana ukule slap ya kisogo.
Mie naeza kukununua wewe na familia yako yote. Don't bring your smelly self here.Nenda kawaongopee jamaa zako wa mukuru kayaba,huku huwezi kumdanganya mtu bwana mido inkamu a.k.a tajiri njaa mob
Naona unajua shida za wabongoNadhani alimaanisha 3,200 sq. km. Shida ya wabongo kosa la typing error mtaligeuza kuwa ndicho kinachojadiliwa.
Mie naeza kukununua wewe na familia yako yote. Don't bring your smelly self here.
Bila msosi ningekuwa nimekufa kitamboKudadeeki hata msosi wenyewe hujapiga hapo ulipo,mwenye hela hajitangazi acha mikwara
Wewe unatumia akili tatizo Wabongo wengi humu wanatumia makalio kufikiria.Inasemekana Nairobi kwa eneo INA sq.km karibia 600 sawana jiji LA London ,ila Nairobi INA wakazi mil. 4.5.na London INA wakazi 10 milion Daressalaam INA eneo LA Mara tatu ya hiyo mini (sq
.km 1560) na INA wakazi mil. 5.5) Tafsiri yake dar imejengwa haina gorfa nyingi kama Nairobi na London. Kule wamejenga kwenda Juu na dar ni kila MTU na nyumba yake anayodhani inamtosha
Kwa maana nyingine dar haina ghorofa nyingi kama Nairobi , atakaelpinga aende google kwa facts
Huwezi kufa si unakula tu githeri au sukuma wiki!?Bila msosi ningekuwa nimekufa kitambo
Kwani githeri au sukuma si msosi. Ni mawe?Huwezi kufa si unakula tu githeri au sukuma wiki!?
Githeri na sukuma wiki si msosi..ndo maana ikaitwa sukuma wiki..hujui maana AkeKwani githeri au sukuma si msosi. Ni mawe?
Sikujua githeri na sukuma ni mavi ya kuku. Nimejifunza kitu leo. Asante.Githeri na sukuma wiki si msosi..ndo maana ikaitwa sukuma wiki..hujui maana Ake
Usijidanganye umetafuna githeri eti umegonga msosi!!!!😂😂😂