komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,549
- 5,646
Duh!!unapigwa mpka umeamua kuganda na hyo chizi mmoja...
A slum in Kenya Vs a middle income area in Tz The first pic is a slum in Kenya and the last one is a middle income area in Tz View attachment 1205045View attachment 1205048
Duh!!unapigwa mpka umeamua kuganda na hyo chizi mmoja...
Nasikia chapo ni chakula cha anasa Kenya !!? Mkenya akinunua chapo anapitanayo mtaani huku anakula na soda baridi ili aonekane tajiri
Kweli wakenya na chapo hatari sana weka mbali na WatotoWabongo sio watu duh.
Wakenya Kwa kujikataa mlivyo!!! Nakumbuka mlikuwa mnatuponda wabongo Kwa kula mahindi choma na pilipili pamoja na ndimu .....sasa wode Maya alipokuja bongo akashanga kuona watz tunavyo kula mahindi sasa cha kushangaza wakenya wakaona wivu na kuanza kutoa comment kuwa nao wanakula mahindi na pilipili na ndimu kama Tanzania mwenyewe akawaponda akawaambia kuwa kabla ya kuja dar alikuwa Nairobi akuona mahindi yenye kuliwa kama tzC
Chapo ilikuwa chakula cha anasa zamani. Siku hizi ni chakula cha kawaida. Ugali tena imepanda bei kushinda chapati.
Vilaza kama hao usijisumbue kuwajibu.Nani amesema Nairobi metro imefika Namanga border? Naona kitu inakusumbua akili
Umedandia train kwa mbelekama n hvyo kumbe hata nyama sio mboga ndio maana ikaitwa nyama
Someone can walk from Kenyatta University to Oleloula Forest in Karen 40 kilometers away?? (if you follow a straight line, which is not possible.Nairobi haina haja ya kupanda usafiri ni kutembea tu na mguu unaimaliza yote chap
There is a difference between the county of Nairobi and the Nairobi metropolis.Hivi nyie wakenya vichwa vyenu viko sawa!? Hivi unaelewa hata maana ya 32,000 square kilometres!? Unaweza kuleta reference ya hiki ulichoandika!? Unajua 32,000 square km ni zaidi ta nchi ya Rwanda, ni zaidi Belgium.
Tukisema nyie wakenya ni wajinga msilie lie
View attachment 1203839
Tanzania will never have buses like these hadi dunia iisheView attachment 1205179View attachment 1205180
Here we are talking about nairobi county,nairobi metro is something uknownThere is a difference between the county of Nairobi and the Nairobi metropolis.
The same way New York city is just 5 boroughs but the New York metro is spread across two states and more than 10 towns and surburbs
Here we are talking about nairobi county,nairobi metro is something uknown
It is on papers and plans,only mukuru kayaba dwellers know about nairobi metroUnknown to you.
True.Nimekaa Nairobi 2yrs sidhani kama kuna tv ama radio yoyote ya Tanzania inasikilizwa Kenya.Ni EA Radio tu niliisikia. Kenya wana Vituo vya Television bora sana na ukiangalia taarifa zao tu za habari hutatamani kuangalia zetu.
kweli kabisa bro. usisahau kuwatangazia na wenzako piaWakenya wapo juu.
Maybe to you. The rest of us have known its existence since the Nairobi Master plan of 2012.Here we are talking about nairobi county,nairobi metro is something uknown