Uzinzi huongezeka siku za sikukuu

Uzinzi huongezeka siku za sikukuu

Mamajusi ni watu ambao walikwenda kumtembelea Yesu alipozaliwa, ni watu ambao walikuwa na Imani na Mungu na waliongozwa na Roho Mtakatifu mpaka kufika kwa mtoto Yesu.
Maelezo yamejitosheleza

Hongera mtumishi mwenzangu 🙏

Tuendelee kugawana Mibaraka
 
Noma sna matoto ya sasa ivi mazuri kinyama shida hayajui kukataa.

Nikua makini mkuu, au kuyapotezea tu .
Ah wee kuwa makini tuu kuyapotezea ni ngumu mwanawane yameumbika vilivyo yaani na hizi nguo zao za sasa basi full matamanio na wakijua una hela tuu ndio wanajileta tuu....wee ni kama unasukuma mlevi
 
Ah wee kuwa makini tuu kuyapotezea ni ngumu mwanawane yameumbika vilivyo yaani na hizi nguo zao za sasa basi full matamanio na wakijua una hela tuu ndio wanajileta tuu....wee ni kama unasukuma mlevi
Duh noma ila kuna matoto ni mazuri sio poa , mwaka huu nimeanza na no fap sku ya pili hii sioni kama nitatoboa🤣🤣
 
Duh noma ila kuna matoto ni mazuri sio poa , mwaka huu nimeanza na no fap sku ya pili hii sioni kama nitatoboa🤣🤣
Unatoboa bwana...wee e u kosa hela uone kama hutobio. Mie nilifulia miezi sita mzeya no nyeto wa mbususu.
Shida pale nikiwa na hela
 
Kwa jinsi watu wanavyo kula na kuliwa ovyo ovyo , inawezekana kati ya watu 10 saba ni waathirika .

Unakuta pisi imenyoka , ngozi inateleza kama nyoka , ila inabugia mavidoge kama chakula .
Hili nalo ni balaa lingine, alafu watu wameshasahau UKIMWI...
 
Back
Top Bottom