Uzinzi huongezeka siku za sikukuu

Uzinzi huongezeka siku za sikukuu

Habari wakuu,

Nishashiba pilau, niende moja kwa moja kwenye mada ya Uzinzi hufanyika zaidi siku za sikukuu.

Ndio nasema Sasa kama unabisha nenda nyumba za kulala wageni kama utakuta Kuna chumba wazi.

Yaani watu wanafanya uzinzi Ile mbaya siku za sikukuu wanakula pilau na kula tunda kimasihara.

Kuna watu wanasubiri sikukuu ndio waanze kufanya kufuru la uzinzi.

Ninavyoandika hapa kuna watakaokuwa wanacomment ila wapo gesti wanatafunana kama pilau.

Sikukuu ndio muda wao wa kufanya uzinzi wa kiwango Cha lami yaani, utafikiri hakuna siku nyingine.

Tukumbuke amri ya Mungu isemayo usizini, na tuifanyie kazi.

Hapa Kuna jibaba mkewe kasafiri lipo na kabinti kadogo kadogo.

Pia kuna mke wa mtu yupo huko mtafaruku gesti na kijana.

Vijana ndo wanakulana huko gesti bubu kimasihara masihara...

Heri ya mwaka mpya wote

Donatila
Dah haha
Sasa mm jn bhn nimebembeleza kupewa kitumbua ile mby, nashukuru hatimaye nilipewa na kuila kisawasawa tukiwa pande fulani za beach moja maarufu hp dar Mida ya night
[emoji14]
 
Siku za sikukuu ndio siku zenyewe. Hizo siku wazazi wale wanaobana watoto wao ndio wanawapa nafasi na hao watoto kutumia huo mwanya kwenda kuliwa.

Siku za sikukuu ndio wake za watu hupata nafasi ya kwenda kusalimia ndugu na jamaa ama kupeleka watoto beach na kutumia huo mwanya kwenda kuliwa na michepuko yao the same na waume kupata nafasi ya kula michepuko yao.

Siku za sikukuu kunakua na uhuru flani ambao unatolewa na watu kuutumia huo muda vizuri kushikishana ukuta.
 
Habari wakuu,

Nishashiba pilau, niende moja kwa moja kwenye mada ya Uzinzi hufanyika zaidi siku za sikukuu.

Ndio nasema Sasa kama unabisha nenda nyumba za kulala wageni kama utakuta Kuna chumba wazi.

Yaani watu wanafanya uzinzi Ile mbaya siku za sikukuu wanakula pilau na kula tunda kimasihara.

Kuna watu wanasubiri sikukuu ndio waanze kufanya kufuru la uzinzi.

Ninavyoandika hapa kuna watakaokuwa wanacomment ila wapo gesti wanatafunana kama pilau.

Sikukuu ndio muda wao wa kufanya uzinzi wa kiwango Cha lami yaani, utafikiri hakuna siku nyingine.

Tukumbuke amri ya Mungu isemayo usizini, na tuifanyie kazi.

Hapa Kuna jibaba mkewe kasafiri lipo na kabinti kadogo kadogo.

Pia kuna mke wa mtu yupo huko mtafaruku gesti na kijana.

Vijana ndo wanakulana huko gesti bubu kimasihara masihara...

Heri ya mwaka mpya wote

Donatila
Hii sikukuu ya Leo sio Sana.
Idd mosi bwana.
 
Back
Top Bottom