Uzinzi huongezeka siku za sikukuu

Uzinzi huongezeka siku za sikukuu

Itakuwa nyumbani hakuna radha au kumezimika kabisa ,yamebaki majivu hivyo wanaenda kupasha nje, hakuna namna shida sana
 
Habari wakuu,

Nishashiba pilau, niende moja kwa moja kwenye mada ya Uzinzi hufanyika zaidi siku za sikukuu.

Ndio nasema Sasa kama unabisha nenda nyumba za kulala wageni kama utakuta Kuna chumba wazi.

Yaani watu wanafanya uzinzi Ile mbaya siku za sikukuu wanakula pilau na kula tunda kimasihara.

Kuna watu wanasubiri sikukuu ndio waanze kufanya kufuru la uzinzi.

Ninavyoandika hapa kuna watakaokuwa wanacomment ila wapo gesti wanatafunana kama pilau.

Sikukuu ndio muda wao wa kufanya uzinzi wa kiwango Cha lami yaani, utafikiri hakuna siku nyingine.

Tukumbuke amri ya Mungu isemayo usizini, na tuifanyie kazi.

Hapa Kuna jibaba mkewe kasafiri lipo na kabinti kadogo kadogo.

Pia kuna mke wa mtu yupo huko mtafaruku gesti na kijana.

Vijana ndo wanakulana huko gesti bubu kimasihara masihara...

Heri ya mwaka mpya wote

Donatila
Nikupe pole na endelea kuuguza kidonda chako cha yaliyokukuta huko nyumba za wageni
 
Mamajusi ni watu ambao walikwenda kumtembelea Yesu alipozaliwa, ni watu ambao walikuwa na Imani na Mungu na waliongozwa na Roho Mtakatifu mpaka kufika kwa mtoto Yesu.
Nakumbuka kuwa ni watu wenye Elimu au utaalamu kusoma nyota kitu kama hicho. Astrologers.
 
Mamajusi ni watu ambao walikwenda kumtembelea Yesu alipozaliwa, ni watu ambao walikuwa na Imani na Mungu na waliongozwa na Roho Mtakatifu mpaka kufika kwa mtoto Yesu.
ok nikafikiri ni kina mama kumbe ni watu bana
 
Haya mambo yalikuwepo enzi hizo na yataendelea kuwepo..hata usiku ule Masia anaandaliwa kupigwa misumari ..wakina Petro walikuwa busy na mamsi mpaka wakagundulika...sembuse sisi watoto wa Nyokaa
 
Back
Top Bottom