Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Huu ndio ushauri wangu kwasababu dini zote zinatambua na kuhuburi msamaha kwa wakosaji.
Kwa msingi huo, kiongozi mwenye imani ya kidini, atakuwa sahihi zaidu kutoa msamaha kwa wafungwa katika sikukuu za kidini.
Na jatika hili, sidhani kama kuna sheria inatamka kuwa misamaha hiyo itolewe kwenye siku za kusherehekea uhuru wa nchi yetu tu zaidi ya kufuata utamaduni wa mtu mweupe(Wakoloni).
Tusherekee sikukuu hizi kwa kufanya kwa vitendo yale yaliyohubiriwa na Manabii na Mitume tunaowaamini..
Siku tukipata kiongozi mpagani, basi atatumia siki ya uhuru kutoa msamaha kwa wafungwa.
Najua kuna watu watasema serikali haina dini, ila swali ni je, inasamehe wafungwa kwa misingi gani kama sio kuzingatia ubinadamu unaotajwa katika vitabu vya dini?
Tuanze sasa.
Kwa msingi huo, kiongozi mwenye imani ya kidini, atakuwa sahihi zaidu kutoa msamaha kwa wafungwa katika sikukuu za kidini.
Na jatika hili, sidhani kama kuna sheria inatamka kuwa misamaha hiyo itolewe kwenye siku za kusherehekea uhuru wa nchi yetu tu zaidi ya kufuata utamaduni wa mtu mweupe(Wakoloni).
Tusherekee sikukuu hizi kwa kufanya kwa vitendo yale yaliyohubiriwa na Manabii na Mitume tunaowaamini..
Siku tukipata kiongozi mpagani, basi atatumia siki ya uhuru kutoa msamaha kwa wafungwa.
Najua kuna watu watasema serikali haina dini, ila swali ni je, inasamehe wafungwa kwa misingi gani kama sio kuzingatia ubinadamu unaotajwa katika vitabu vya dini?
Tuanze sasa.