Uzinduzi wa Studio mpya za Azam Media

Uzinduzi wa Studio mpya za Azam Media

Kumbe umeajiriwa nilidhani una mashughuli yako binafsi kumbe umeandikwa kibarua.

Tena Nimeajiriwa Na Marais Siyo Mburulaz Nyie Na Shughuli Yangu Wanaijua Na Wanaikubali Na Nazichezea IKULU Zao Kama Sina Akili Vile.
 
Azam TV wamezindua listudio likuuuubwa la kisasa - kushinda kituo chochote kile katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati,na inaonekana wamejipanga maana personnel yao unaona professionals watupu.

According to CEO Tido Mhando,wanakusudia kuifanya Azam TV kuwa BBC ya Tanzania, na pia Al-Jazeera na CNN ya Afrika Mashariki na Kati.

Thank you Azam TV,bila shaka mtatuponya na machengachenga ya TBC na watangazaji wao wasiojua lugha ya Taifa.

Naweza kutabiri pia Mengi anaweza kuanzisha fujo flan na hawa jamaa na baadae tusishangae akisema anatishiwa kuuawa.

Pia Rais Kikwete atakuwa anajisikia aibu kumfukuza Tido TBC,sasa utaalam umehamia Azam TV na TBC inakufa,kweli aliyepewa kapewa tu huwezi kumzibia baraka zake kwa Mungu.

WELCOME Azam TV - a mere concept 2 yrs ago and now a media company with 250 employees today -FORMIDABLE LEAP!

Vipi Mkuu Mengi kampa tajiri mwenzake Airtime ya Dakika 6 kwenye ufunguzi wa Azam Media.. Hii inaweza kuwa habari mbaya kwako mkuu.

Ungekuwa ni mfuatiliaji mzuri ungejua Azam, METL na IPP hawa ni marafiki sana..
 
aaaahaaaaa stupid indeed daah nicheke tu kitu gani sasa hapo ulichorusha gizani aaaahaaaaaaaaa ....

Nikiwa Stupid Bi Mkubwa Wako Atakuwaje Kama Siyo Idiot Kwa Kutuletea Hapa Duniani Kiumbe MWENDO Kama Wewe? Utachoka Mwenyewe.
 
Kwa hili la station wengi wanaopondea ni wale wa kishumundu kwan wanaona mungumtu wao anaelekea kupigwa bao muda si mrefu.

Mengi kampa Airtime Tajiri mwenzake kwenye Taharifa ya Habari kwa dakika kama 6 hivi.. Vipi imekuuma kuona wapo pamoja?? Ila hata siku moja AZAM wala IPP hawawezi kuwapa airtime wapuuzi wa Clouds Media
 
Mengi kampa Airtime Tajiri mwenzake kwenye Taharifa ya Habari kwa dakika kama 6 hivi.. Vipi imekuuma kuona wapo pamoja?? Ila hata siku moja AZAM wala IPP hawawezi kuwapa airtime wapuuzi wa Clouds Media

Nijuavyo mimi, mzee RA Mengi ni muumini mkubwa wa uwekezaji na wawekezaji wa ndani. Pamoja na ushindani lakini kampa airtime ya kutosha AZAM! Ni ueledi safi kabisa. Hii nmeipenda sana. Sijaona kama Sahara nao walirusha ama la! Sote sisi ni Watanzania, tujivunie uwekezaji wa Wazawa. Hongera SSB kwa kutoa ajira kwa Watanzania wenzako!
Kuna watu vijana wanatajwa kuwa matajiri lakini hawana maslahi yoyote kwa Watanzania!
Bila kutaja jina la mtu, ila yule tajiri kijana kutoka mkoa mmoja wa katikati ya Tanzania sijaona akiwa msaada sana kwa ajira kama ya huyu SSB au hata Mengi!
 
Siera umenena,hakika ukiangalia citizen tv,unafurai,pia waboreshe kwenye matangazo,siyo matangazo yetu ya huongo kama lile la lpf na star tv wanavyo adv kingamuzi chao uongo.mtupu
 
Nijuavyo mimi, mzee RA Mengi ni muumini mkubwa wa uwekezaji na wawekezaji wa ndani. Pamoja na ushindani lakini kampa airtime ya kutosha AZAM! Ni ueledi safi kabisa. Hii nmeipenda sana. Sijaona kama Sahara nao walirusha ama la! Sote sisi ni Watanzania, tujivunie uwekezaji wa Wazawa. Hongera SSB kwa kutoa ajira kwa Watanzania wenzako!
Kuna watu vijana wanatajwa kuwa matajiri lakini hawana maslahi yoyote kwa Watanzania!
Bila kutaja jina la mtu, ila yule tajiri kijana kutoka mkoa mmoja wa katikati ya Tanzania sijaona akiwa msaada sana kwa ajira kama ya huyu SSB au hata Mengi!

Well said mkuu.. Na huu ndio uzalendo tunaoutaka, kabla ya kutegemea wa nje aje kutusaidia tusaidiane wenyewe. Yule kijana ni mbinafsi sana mkuu na biashara zake anafanya na watu wa race yake. Huwa ni mshirika mkubwa wa Murji kwa biashara zake za Kusini..
 
Tafadhali, tafadhali, tafadhali, azam acheni udini tuwekeeni hata chanel mbili za gospel.
 
naomba tu AZAM MEDIA waache udini wa wazi wazi, watuwekee, angalau hata channel mbili za gospel.

Mbona hata za dini ya kiislamu hamna? Ila ni vizuri waweke na station za dini kuu (uislamu na ukristo), kuna watu wametengwa!!
 
Tido Mhando amekiri wazi kuwa atafanya kazi AZAM TV kwa weledi zaidi na kufanya makubwa zaidi kwa kuwa hapo amepewa uhuru mkubwa sana kuliko sehemu nyingine yoyote ya kituo chochote cha Tv nchini wa kufanya kile anachoamini ni kizuri na kitaleta mapinduzi chanya katika tasnia ya habari kitaifa na kimataifa.

Ameyasema hayo akihojiwa na mwandishi wa habari wa Mlimani Tv katika uzinduzi wa Azam Tv ambapo ni naibu mkurugenzi mtendaji.

Kwa kumbukumbu ni kwamba Tido Mhando aliwahi kuwa mkurugenzi mtendaji wa TBC ambapo kwa mujibu wa maelezo yake ndipo alipokosa uhuru mpana wa kufanya kile ambacho anaona kinafaa zaidi.

No Comment!
 
Back
Top Bottom