Uzinduzi wa Studio mpya za Azam Media

Uzinduzi wa Studio mpya za Azam Media

unapenda kuona ofisi ya wanaovaa vimini siyo?

Aende maisha club,me ofisini kwangu kuna watumishi 31 waislam hatufiki 10 na mda wote ni kwaya,maisha yanaenda,kila mtu anatimiza majukumu yake,sasa wengine wangezid wangesema wadini,pale ofis ya bos kuna picha la sanam la bikira maria
 
Nadhani ni wakati muafaka wa kuwa na fikra endelevu na zenye kuvuka mipaka ya nchi yetu, na pia tukawa na watu wa mifano katika kuigwa kutoka ndani ya nchi yetu katika sekta ya uchumi na maendeleo. Natamani kusikia stori ya alikotoka na mapito ya ndugu Bakhressa mwanzilishi. Kuna mengi ya kujifunza kutoka kwake. Namfananisha na Millard Ayo enzi za ujana wake na juhudi aliyokuwa nayo. Anisamehe sana kama nitakua nimemkosea. Hongera sana kwa Azam TV.

Kutoka ndani ya Learnintz.com || @LearninTZ
 
Mzee bahresa na mku wa kaya kwenye uzinduzi
 

Attachments

  • 1425657217948.jpg
    1425657217948.jpg
    36.4 KB · Views: 202
Kwa nini kila anapotajwa bakhresa watu wanaharibu kwa kuleta issue za udini? Wabongo sisi tuna hitilafu si bure. Azam endelea kuwekeza ht mie mkatoliki nafaidika
 
Zinafunguka wapigie simu wakuhamishie azam play by default wameweka watu wote kwenye 15000. Mie nazipata baada ya kahamishiwa azam play

Wanapatikana kwa namba ipi? Maana mimi nimepata tatizo hilo hilo. Nimewapigia kwa 0764700222, lakini hawapatikani.
 
Kiukweli leo najisikia angalau mumenifuta machoji ya kutolewa ktk mashindano ya kimataifa asante azam group
 
Kwa studio kama iyo hao watangazaji sasa inabidi wakajifunze kwa wenzao wa citizen ya kenya wanavyojiachia kwa kutangaza na lugha sahihi . Sio hapa watangazaji hawajui hata kutofautisha R NA L yani huwa inakera sana..ukiangalia news citizen yani unasikia raha kwa kiswahili chao sahihi

Duh! Umenena mkuu. Hii kitu ya 'r' na 'l' hakika ni janga. Bado kuna 'ataki' badala ya 'hataki' na maneno mengi yanayoanza na h.
 
Kwa nini kila anapotajwa bakhresa watu wanaharibu kwa kuleta issue za udini? Wabongo sisi tuna hitilafu si bure. Azam endelea kuwekeza ht mie mkatoliki nafaidika

Kwa hili la station wengi wanaopondea ni wale wa kishumundu kwan wanaona mungumtu wao anaelekea kupigwa bao muda si mrefu.
 
Wagalatia bhanah sijui walitaka kadinal pengo ndo awe meneja wa azam ndo waridhike, hivi mengi kaajiri waislaam wangapi pale? Sbb qualification ya kuajiriwa ipp media ni uwe mchaga tena mkristo

Bila shaka huangalii ITV. Tangu lini Mkristo akaitwa Fatma, Chiku, Abdallah, Sabrina et al. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. ITV kuna Waislam wengi sana.
 
Tatizo lako kubwa ni malezi uliyoyapata kutoka kwa majirani, maana mama alikuwa bize kukutafutie kula. Jee, baba pia humjuwi au ndiyo anashinda na kukesha vilabuni?

Huyu Faiza Foxy ni ndugu yake Asha Bakari Makame au? Naona wanashindana kwa matusi. Duh! Kaazi kweli kweli.
 
Jk mambo ulioyaona azam wala sio ulaya mbona hata tbc inawezekana fungueni milango wapeni wawekezaji muone
 
Tatizo lako kubwa ni malezi uliyoyapata kutoka kwa majirani, maana mama alikuwa bize kukutafutia chips mayai. Jee, baba pia humjuwi au ndiyo anashinda na kukesha vilabuni?
jipendekeza sana kwa jk lakini kumbuka kuwa umechelewa, hana muda tena wa kuchagua wakuu wa wilaya wala wabunge wa viti maalumu. kazana kuosha papuchi yako subiri raisi ajae umgawie na kumsifia kama una nyota utapewa ila kama una nyota kama ya wema sepetu utaishia kuliwa. kazana sana kunyoa mav,,,uzi ***** zako wewe mbibi na k yako yenye mvi
 
Tido Mhando amekiri wazi kuwa atafanya kazi AZAM TV kwa weledi zaidi na kufanya makubwa zaidi kwa kuwa hapo amepewa uhuru mkubwa sana kuliko sehemu nyingine yoyote ya kituo chochote cha Tv nchini wa kufanya kile anachoamini ni kizuri na kitaleta mapinduzi chanya katika tasnia ya habari kitaifa na kimataifa.

Ameyasema hayo akihojiwa na mwandishi wa habari wa Mlimani Tv katika uzinduzi wa Azam Tv ambapo ni naibu mkurugenzi mtendaji.

Kwa kumbukumbu ni kwamba Tido Mhando aliwahi kuwa mkurugenzi mtendaji wa TBC ambapo kwa mujibu wa maelezo yake ndipo alipokosa uhuru mpana wa kufanya kile ambacho anaona kinafaa zaidi.
 
Huwa nasisimka sana kuisikia sauti ya Tido.Uwezo wake ni mkubwa sana katika menejimenti ya tasnia ya habari.
Niliwahi kukutana naye.katika kipindi hicho kifupi nilifurahia sana ucheshi wake.
Naamini TBC watajuta kumfukuza huyu nguli wa habari.Lengo lilikuwa kumkomoa Lowasa aliyemleta TZ kufanya kazi TBC.
 
Kweli Nimeamini UKITUPA JIWE GIZANI NA UKISIKIA MTU ANALALMIKA YALAAAAAAAH! BASI UJUE LIMEMPATA. Dstv Ya Kuangalia VIBANDA VYETU VILE UMIZA?
aaaahaaaaa stupid indeed daah nicheke tu kitu gani sasa hapo ulichorusha gizani aaaahaaaaaaaaa ....
 
IDIOT? Kwa uandishi wako na wewe ni msomi? wagalatia mna kazi sana.

Tafuta KIKI Kwingine Siyo Kwangu. Ujinga Wako Hautofautiani Na Wa Msemaji Wa Yanga Jerry Muro Na Nahisi Yawezekana Ukawa Ni Wewe.
 
Back
Top Bottom