MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,560
- 41,523
Ya Bakhresa na ndiyo haweki channel za kikafiri. Kumbuka hilo.
Ingia katazame Peace TV. Kwa faida yako.
Natumia Dstv Azam hawaonyeshi mechi za Arsenal
Ya Bakhresa na ndiyo haweki channel za kikafiri. Kumbuka hilo.
Ingia katazame Peace TV. Kwa faida yako.
Natumia Dstv Azam hawaonyeshi mechi za Arsenal
ha ha ha wanaoipigiwa simu hhawasemi.
hii siyo lugha ya mtu aliyeelimika Na kustaarabika.eeti ndio unaongea Na Marais sijui Marais wawapi hao.hovyooooooo
Tema hata makohozi mi channel ya kikafir NO.
Tema hata makohozi mi channel ya kikafir NO.
sipati picha wewe ni mtu wa aina gan!!?
hiv unaweza kuishi kama binadamu kweli!!?
Sasa hivi wamesitisha mwatangazo mpaka hapo watakapokua na kisimbuzi chao, waligoma baada ya mitambo ya analojia kuzimwa. Wapo katika mchakato wa kuzindua kisimbuzi chao mda si mrefu, sina uhakika kama baada ya kuja na kisimbuzi chao watapatikana tena kwenye visimbuzi vingine.
AZAM kwenye king'amuzi chao hawana jipya. Pamoja na kuongeza bei bado channels tano hazionekani!!
Madrassa Al Jammiatul Al Islamiya Fi Tanganyika.
Madrassa Al Jammiatul Al Islamiya Fi Tanganyika.
Kumbe ndio maana!
Ndiyo maana ubongo wako hauko Sawa maana hayo ndiyo maeneo hatari ambayo maalim huanza kuwala tgo tangu mngali vibinti.ushaharibika weye!!
sipati picha wewe ni mtu wa aina gan!!?
hiv unaweza kuishi kama binadamu kweli!!?
Unanshangaza!, hujiulizi mtu anaemkufuru Mwenyeezi Mungu kwa kuabudu sanamu la mzungu alievishwa nepi huyo anaishi kibinaadam? Fikiri.
Ila Mwambieni Huyo MSHAMBA Yahaya Mohamed Ambaye Ndiyo Bosi Kwa Wanahabari Hapo Aache Tabia Yake Ya Kujisikia ( MAJIPU ) Hadi Kufikia Kusema Kuwa Hapokei Simu Na Hata Ukimpigia Simu Inaita Tu Na Hapokei Awe Anakujua au Hakujui. Huyu Jamaa Tokea Apate Shavu Hapo Kwa ( Azam Media ) Amebadilika Mno Na Si Yule Yahaya Mohamed Niliyemwacha SAUT 2009 Na Hata Alipokuwa Hapo Sahara Media Ada Estate Jamaa Alikuwa Mtu Poa Na Bonge La Homeboy ILA Tokea Ahamie Media ( Azam Media ) Jamaa Amekuwa Na MAJIPU Ya Hali Ya Juu. Sasa Namshangaa Kitu Kimoja Kasema Hapendi Kupigiwa Simu Sasa Inakuwaje Ukionana Nae Anakupa Business Card Yake Na Huku Anakusititiza Kuwa Muwe Mnawasiliana? Yahaya Mohamed Badilika Mkuu Na Humu JF Najua Upo Na Tabia Yako Hii Ya Kuwa Na MAJIPU Umewaambukiza Hadi Hao Mademu Wapiga Picha Uliotoka Nao Sahara Media Haswa Huyo AIKA KIMARO. Badilikeni!