Uzinduzi wa Studio mpya za Azam Media

Uzinduzi wa Studio mpya za Azam Media

Na mwaliko huu ulikuwa ni ujumbe kwake (Kikwete) kuwa alimshawiki atoke BBC kumleta TBCCM ambapo wakambana mpaka kumwondoa akatimkia MWANANCHI na sasa AZAM wameokota dodo mchangani!!
 
Tido ndo Boss wa hiyo studio au? Kama niyeye huenda ikawa studio safi sana.

Yeye ni msaidizi. CEO ni mzungu raia wa Uingereza. Tido ni Assistant CEO.AZAM hataki mchezo. Studio kali kimuonekano. 53bn/- siyo mchezo, ni karibu hela za Uwanja wetu wa Taifa na kuongeza kidogo! Go go ahead Azam
 
Mdini ni huyo bimkora wenu FaizaFoxy usijitoe ufahamu kusingizia wengine!

Nimefanya nini? na nyinyi ndiyo mliolianzisha hapa, eti mnataka Azam awawekee channel za gospel, nimewaambia msahau hilo.

Hakuna.

Tazameni Peace TV muondoke kwenye kiza lililowatanda.
 
Yeye ni msaidizi. CEO ni mzungu raia wa Uingereza. Tido ni Assistant CEO.AZAM hataki mchezo. Studio kali kimuonekano. 53bn/- siyo mchezo, ni karibu hela za Uwanja wetu wa Taifa na kuongeza kidogo! Go go ahead Azam

Hapo sawa ila asije akawa AZACCM
 
Sasa Kama Napigiwa Simu Na Marais Paul Kagame, Yoweri Museveni, Katibu Mkuu Wa EAC Dr. Richard Sezibera Na Balozi Wa Rwanda Hapa Kwenu Tz Huyo Yahaya Mohamed Kwangu Anajaa Ktk Kiganja Kipi? Nyie Potezeni Tu Muda Wenu Na Mimi Humu Kisha Mfukuzwe Kazi. Mimi Humu Ndiyo Kazini Kwangu au Ofisini Kwangu Na Nazichanga Mno Kupitia UPOPOMA Wenu.

ha ha ha wanaoipigiwa simu hhawasemi.
 
Nimefanya nini? na nyinyi ndiyo mliolianzisha hapa, eti mnataka Azam awawekee channel za gospel, nimewaambia msahau hilo.

Hakuna.

Tazameni Peace TV muondoke kwenye kiza lililowatanda.

Sasa kutwambia tusahau gospel kwa Azam wakati wewe si msemaji wala si mmiliki, huo sio udini nini!
 
Tunategemea makubwa kutoka kwake.kila la heri tido ila serikali wasije wakambana hukohuko.kw maoni angu angefaa zaid itv
kuna utofauti gani akiwa azam na itv? ukabila? ukanda? udini? or what?
 
barafuyamoto inaelekea unafikiria kwa kutumia makalio, huo unaoleta wewe ndo udini, kwani kuna chanel yeyote ile ya kiislaam ambayo imewekwa kwenye king'amuzi hicho? Tambua kuwa chombo chochote kile cha habari kinaongozwa na sera ya kampuni husika na sio matakwa ya shekh/padre, hata hivyo mbona clouds, eatv, wanapiga kwaya kila jpili lakini hampigi kelele kuwa ni wadini, ni lini umeona hata qaswida kwenye tv hizo? Ila kwa kukusaidia unaweza kuona chanel za dini kupitia azam tv kwa kuingiza frequance za chanel husika manually, mfano iman tv, peace tv na emanuel tv zote zinapatikana
 
Last edited by a moderator:
Tunaomba TIDO na wenzako mboreshe ktk kufanyia kaz maoni ya wateja kwani bado tunaomba chanel za STAR TV na TBC 2.
 
Mkuu barafuyamoto unamuuliza FaizaFoxy kuhusiana na mambo ya gospel unategemea akujibu nini wakati yeye na udini damu damu! Huyu bibi ni itikadi kali wale wa kujilipua kabisa!

Anaeomba awekewe gospel siyo mdini, mdini aliyesema sahau? Unanchekesha!

Ikiwa Uislam ndiyo udini, basi mimi ni wa kwanza. Kumbuka hilo.
 
Back
Top Bottom