Uzinduzi wa Studio mpya za Azam Media

Uzinduzi wa Studio mpya za Azam Media

Hongera sana azam tv kwa ufunguzi huu wa studio.
 
azam anaupendeleo Wa kidini kuanzia wafagizi mpaka waendesha vibaskeli vya juice ukiona mkristo kaajiliwa ujue hakuwa na namna...
 
Utahororoja na kubwabwaja sana leo.

Azam TV kuweka mi channel ya kikafiri, hilo sahau. Labda si ya Bakhresa ile.

FaizaFoxy mbona wewe ni kizazi cha nyoka lakini sisi hatusemi? Kuwa mstaarabu wewe bibi
 
Naam, kitu ambacho hukipati umri wako wote.

Siitaji kupata hicho kitu, nimechagua kukataa kukipata hicho kitu maishani mwangu!
Alafu acha kupenda "makafiri", usiku mnene uko bize nao mtandaoni badala ya kulala na 'dume' lako!
Acha kuzuga!
 
Sasa umeeleza tofauti gani na nilivyoeleza? Nililoandika ni tumaini langu kutokana na dalili za kumuajiri Tido. Pamoja na kuwa mfanyabiahsra nchi na jamii huwa zina utaratibu wake. Kuwa mfanyabishara si kigezo cha kufanya chochote anachotaka! Kungekuwa hakuna utaratibu angeweza kuamua kuajiri wafanyakazi wote waarabu kutoka uarabuni!

na hiyo ndio what we call organisation behavior, na utakutana na organisation policy kutokana na visions and missions of the organisation. :baby:
 
Ya Bakhresa na ndiyo haweki channel za kikafiri. Kumbuka hilo.

Ingia katazame Peace TV. Kwa faida yako.
Huko kuna Chanel za makafiri wenzako tuu acha kujidanganya Azam tv haijaegemea upande wowote kama nyimbo za gospel zitakuwa zinaonyeshwa kila siku asubuhi .
 
Ushauri wangu kwa Azam ni kwamba wasikubali hata siku moja kuajiri wafanyakazi wa station zingine haswa TBC, wakifanya hivyo tu basi wajuwe watalostika. Si mnawaona TBC walivyo kosa muelekeo?
 
Wanazo katuni za Junior Jumbo na Mama Ndege

Wayiiii.......watoto wa siku hizi wanataka......planes......cars..........frozen......Rio.......Rango.....Khumba........e.t.c.......kama hawana hizo........waje niwaazime..........
 
azam anaupendeleo Wa kidini kuanzia wafagizi mpaka waendesha vibaskeli vya juice ukiona mkristo kaajiliwa ujue hakuwa na namna...

Nyinyi majizi sana kwahiyo bora hata asiwape kazi, kuanzia Escrow, meremeta, IPTL, hadi bank ya mkombozi kumejaa majambazi tu angalia kila sehemu kwenye wizi wa nchi nyinyi tu hamuoni aibu?
 
Nyinyi majizi sana kwahiyo bora hata asiwape kazi, kuanzia Escrow, meremeta, IPTL, hadi bank ya mkombozi kumejaa majambazi tu angalia kila sehemu kwenye wizi wa nchi nyinyi tu hamuoni aibu?

Chini ya RAHISI baba mwana asha
 
Back
Top Bottom