Uzinduzi wa Studio mpya za Azam Media

Uzinduzi wa Studio mpya za Azam Media

Kikwete aliogopa midahalo kumbe tungestuka pale watz.
 
Last edited by a moderator:
Tunategemea makubwa kutoka kwake.kila la heri tido ila serikali wasije wakambana hukohuko.kw maoni angu angefaa zaid itv
 
Tido ndo Boss wa hiyo studio au? Kama niyeye huenda ikawa studio safi sana.
 
Kakulipa Tsh Ngapi Kuja KUMTOLEA Mapovu Ya Kumtetea Humu? Utake Ukatae Dr. Dau Ni Mdini, Narudia Ni Mdini Namalizia Ni Mdini Pure.

nimefuatilia pst zako wewe ni mtu hatari sana na inaonekana unachukia Sana waislam endelea kubaki Na roho yako mbaya.
 
Jk kumfukuza TBC CCM walijua wamemkomoa kumbe ndo wamezidi kumpandisha chati kuwa juu zaidi hongera Tino Mhando kwa utendaji wako .
 
Kwanini sasa azam haipo ktk ving'amuzi vingine!?
 
Back
Top Bottom