Mzalendotz20
Senior Member
- Sep 2, 2020
- 109
- 113
Hakika ni neema TupuHii kweli ni Neema tosha kabisa kwa watu wa Zanzibar maana kwa ninavyomfahamu huyu kiongozi ni kiongozi makini sana na anafanya vitu vyake kwa umakini wa hali ya Juu. Zanzibar tumepata Neema ya kutosha