HAWA SIO WAZANZIBARI ATI KATIKA HII PICHA NI WATANGANYIKA TU WANAOFUATILIA SIASA ZA ZANZIBAR KITU AMBACHO HAKIWAHUSU NI UPUMBAVU TU MKUBWA
Mbn kama umekua msemaji wa wa zanzibar walio wengi?
Mbn kama umekua msemaji wa wa zanzibar walio wengi?
Mwinyi CCM siyo yako wewe umeikuta na CCM haijawahi na haitaki kuwa na upendo, utashuhudia hili utakaposhindwa uchaguzi na wewe ndiye utapewa urais na hautaukataa.Chama Cha Mapinduzi Zanzibar leo tarehe 12 Septemba 2020 kinafanya mkutano wa uzinduzi wa Kampeni zake katika Uwanja wa Demokrasia, Kibandamaiti. Mgombea wa Kiti cha Urais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dokta Hussein Ally Mwinyi ataeleza dhamira yake ya kuitumikia Zanzibar...
Chaguo la wazanzibaraHuyu ndie chaguo la wazanzibari View attachment 1567523
Na wewe unawasemea wanzanzibar waache wafanye kile wanapenda
Ndio nn uchafu huo..... Mmebeba watu kutoka Bara na bado ni vimtu tu.... Sasa subiri babalao Seif eoWe hukielewi kabisa.
Angalia
Chagua CCM
Chagua Dr. Hussein Mwinyi
Chagua Magufuli
#Anakubalika
#MtuWaWatu
#YajayoNineemaTu
#KuraYaNdiyoKwaMwinyi
#KuraYaNdiyoKwaMagufuli
#Mwinyi2020
#TwendeNaMwinyi
@ccm_tanzania
@hpolepole
@SuluhuSamia
@DrHmwinyi
@MagufuliJPView attachment 1567556
Hapana.... Nime quote maneno yao wenyeweUmekua msemaj wa CCM ss!
Hahahaaa mimi nimequote maneno ya wazanzibari wenyeweHapana usiongee kwa hisia ni vyema ukafanya Research
kuwa waziri wizara nyeti hakumfanyi awe mzaznibari, Ni muhamiaji haramu, CCM wenyewe hawamtaki,wanalazimisha watu waende mkutano wake, kwa kifupi hana kaniba ya kuongoza hata familia yenye mke zaidi ya mmoja.Propaganda, Mwinyi anakubalika na anakwenda kushinda. Msikilize sasa anazungumza kisha tuje tujadili kama hajui kuongea na amekua waziri wa wizara nyeti
aisee nimekosa fursaUmetaja maeneneo ya karibu mbona, watu wamesombwa kuanzia kusini mwa Unguja yaani Makunduchi waende wakaongeze idadi. Halafu sasa, wengi wao sio wapiga kura, wanafuata shangwe na kuhunika na watoto wa watu. Mzee wewe kama una gari yako, nenda tawini ukachukua flana za ccm na mafuta full tank unaekewa!
Mwaka huu CCM kifo cha mende Zanzibar!
Ukishaioa picha ndo inakuwa mke wako wakidumu?Natamani kuoa picha vile watu wanasombwa saa hii kutoka bububu, mpakanjia, mchambawima, kibandabamaiti, mwanakwerekwe and the like.
this time hamtoboi
Hujachelewa, mikutano yote ya CCM mafuta bure ukienda tawini. Kama upo Zenjy next mkutano tinga tu tawini uchukue flana yako ya CCM beba na watu ionekane unaenda na wenzako huendi peke ako.aisee nimekosa fursa