Uzinduzi wa kampeni za CCM Arumeru now...

Uzinduzi wa kampeni za CCM Arumeru now...

Ha ha ha.. Da same old story.. watakula ubwabwa kama upo na kisha watasepa..
 
Jana Nape alitukana hapa JF kuwa Ufunguzi wa CHADEMA ulikuwa umedoda na watu wachache sana. Na akasema tukitaka kujua nini maana ya watu wengi basi leo ndiyo tutaona.

Namsubiri Nape aje hapa ale matapishi yake maana vinginevyo nitaamini kuwa wale Wasukuma alitishia kuwaSHIKISHA UKUTA huko Mwanza wamemroga ugonjwa mbaya sana.

So far so good. Tumejaribu, tumeweza na tunasonga mbele.......... ila mbele ipi?
 
Mambo yanazidi kuwa mambo hapa USA river wakati mji wote ukiwa umepambwa kwa rangi za kijani na manjano.
Hali ilivyosasa
(1) Buruduni ya wasanii wa Bongofleva, maigizo na kundi la TOT tarabu zinaendelea katika eneo la tukio
(2) Wananchi wanafurahia burudani huku vijana wakiserubuka na Bongofleva yap CCM inawapa raha
(3) Mamia ya Rai na Wasio Rai wanaendelea kumiminika kotoka sehemu mbalimbali za Mji wa Arumeru na Wengine kutoka Arusha na Moshi
(4) Watu ni wengi haijawahi kutokea Tanzania yaani Arumeru ni full shangwe
(5) Viongozi wa Chadema wakimbia mji kwa muda kuepuka aibu ya kuzomewa
(6) Kiongozi wajuu kabisa wa CCM kuzindua kampeni hizi leo
(7) wanawake na binti ni wengi kuliko unavyofikiri
(8) maandamano yanatarajiwa kuanza kutoka sehemu kuu nne ikiwa upande Kaskazini yataongozwa na Samweli SITTA,Kusini Chenge, Mashariki Chiligati na Magharibi ni Nape na Rostamu

Tutaendelea kuwajuza yatakayokuwa yanaendelea kila dakika kutoka hapa USA River stay tuned usitoke


tuwekee picha zako acha umaku
 
Duh e bwana watu wengi balaa hapo naona hamna hata mahali pakunyooshea mkono

Duuuuh kweli kuna Umati! Tusubiri wakianza manake najua mzee Komba akianza kukoroma huwa wananchi wanajikusanya.
 
maandamano makubwa sasa yanaanza kuingia kwa zamu hapa kiwanja cha mkutano Watu ni wengi haina mfano
 
Naona kwa mbaali bendera ya Chadema. Hebu angalia juu ya hilo gari upande wa kushoto mwa picha. Chini yake kuna masanduku mekundu yaliyo juu ya huo mgari wa kitalii.

CCM3.jpg



Wee Mgoni Komba punguza unene. Kaptain gani wa jeshi anajiachia kwa unene namna hiyo? Sasa unatembelea gongo, siyo ajabu kabisa maana miguu inashindwa kuubeba unene wa tumbo, kifua na kichwa. Huo Mbichwa hata Rama mla watu asingeliweza kuubeba sasa wewe hiyo miguu si unaitesa sana? Pia siyo nzuri kwa afya yako kwani mwili unakuwa mkubwa ila MOYO unabaki kuwa vilevile na matokeo yake unashindwa kusukuma damu katika limwili lote la John Komba.
CCM6.jpg
 
CCM6.jpg

Mhh.. Hebu nijuzeni huyu jamaa kulikoni anatembelea clutches..? Mwili umeelemea miguu au..? Angebakia Jeshini nadhani ingekuwa na usalama kwa afya yake..
 
Hayo ni matayarisho ya uzinduzi, sema kweli, wacha longolongo.
 
Katiba mpya lazima ije na solution ya kupunguza gharama Kama hizi kwenye uchaguzi.Ingefaa mshindi wa pili arithi jimbo.

Mkuu watu watauana bure! Huoni wanawake wameanza kumalizana
 
Mambo yanazidi kuwa mambo hapa USA river wakati mji wote ukiwa umepambwa kwa rangi za kijani na manjano.
Hali ilivyosasa
(1) Buruduni ya wasanii wa Bongofleva, maigizo na kundi la TOT tarabu zinaendelea katika eneo la tukio
(2) Wananchi wanafurahia burudani huku vijana wakiserubuka na Bongofleva yap CCM inawapa raha
(3) Mamia ya Rai na Wasio Rai wanaendelea kumiminika kotoka sehemu mbalimbali za Mji wa Arumeru na Wengine kutoka Arusha na Moshi
(4) Watu ni wengi haijawahi kutokea Tanzania yaani Arumeru ni full shangwe
(5) Viongozi wa Chadema wakimbia mji kwa muda kuepuka aibu ya kuzomewa
(6) Kiongozi wajuu kabisa wa CCM kuzindua kampeni hizi leo
(7) wanawake na binti ni wengi kuliko unavyofikiri
(8) maandamano yanatarajiwa kuanza kutoka sehemu kuu nne ikiwa upande Kaskazini yataongozwa na Samweli SITTA,Kusini Chenge, Mashariki Chiligati na Magharibi ni Nape na Rostamu

Tutaendelea kuwajuza yatakayokuwa yanaendelea kila dakika kutoka hapa USA River stay tuned usitoke


Hapo kwenye red ndipo ulipoharibu utamu wa hii thread yako na kutufanya tusiamini unachotuambia.
 
mhuu!!!!!! Hilo jukwaa la fiesta au....hapo kuna mabasi mawili na kwa kuangalia hao watu wote wanaenea humo....inamaana wenyeji hawapo.!
 
ubwabwa na mandondo daah wameru sujui kama wanakula hii makitu
 
Back
Top Bottom