Uzinduzi wa kampeni za CCM Arumeru now...

Uzinduzi wa kampeni za CCM Arumeru now...

Huyu mama wa CCM mbona ana kitambi kikubwa namna hii!!
ubwabwa au?

attachment.php
 
Mkuu umezidisha mahaba katika kuripoti hili tukio,kwani hakuna tv inayorusha live tujionee wenyewe maana napata mashaka ya ukweli kwenye taarifa yako.
 
Naona kwa mbaali bendera ya Chadema. Hebu angalia juu ya hilo gari upande wa kushoto mwa picha. Chini yake kuna masanduku mekundu yaliyo juu ya huo mgari wa kitalii.

CCM3.jpg



Wee Mgoni Komba punguza unene. Kaptain gani wa jeshi anajiachia kwa unene namna hiyo? Sasa unatembelea gongo, siyo ajabu kabisa maana miguu inashindwa kuubeba unene wa tumbo, kifua na kichwa. Huo Mbichwa hata Rama mla watu asingeliweza kuubeba sasa wewe hiyo miguu si unaitesa sana? Pia siyo nzuri kwa afya yako kwani mwili unakuwa mkubwa ila MOYO unabaki kuwa vilevile na matokeo yake unashindwa kusukuma damu katika limwili lote la John Komba.
CCM6.jpg

Hivi jamani Mwanaume kama huyu jukumu la kindoa analitimiza vipi? halafu oohooo mke wangu anatoka nje ya ndoa! sasa mke akiwa mjamzito inashindwa kueleweka ni nani hasa ana mimba?
 
Huku ndio kudoda ssasa watanzania tuwaombee hawa nduguzetu preeeshaa zinapandaaaaa preeeeshaaaa zinashukaaaaa,
Ukiangalia kwa makini hao ni wanachama wa karibu sana na ndiomaana wametinga ze green......
 
Mambo yanazidi kuwa mambo hapa USA river wakati mji wote ukiwa umepambwa kwa rangi za kijani na manjano.
Hali ilivyosasa
(1) Buruduni ya wasanii wa Bongofleva, maigizo na kundi la TOT tarabu zinaendelea katika eneo la tukio
(2) Wananchi wanafurahia burudani huku vijana wakiserubuka na Bongofleva yap CCM inawapa raha
(3) Mamia ya Rai na Wasio Rai wanaendelea kumiminika kotoka sehemu mbalimbali za Mji wa Arumeru na Wengine kutoka Arusha na Moshi
(4) Watu ni wengi haijawahi kutokea Tanzania yaani Arumeru ni full shangwe
(5) Viongozi wa Chadema wakimbia mji kwa muda kuepuka aibu ya kuzomewa
(6) Kiongozi wajuu kabisa wa CCM kuzindua kampeni hizi leo
(7) wanawake na binti ni wengi kuliko unavyofikiri
(8) maandamano yanatarajiwa kuanza kutoka sehemu kuu nne ikiwa upande Kaskazini yataongozwa na Samweli SITTA,Kusini Chenge, Mashariki Chiligati na Magharibi ni Nape na Rostamu

Tutaendelea kuwajuza yatakayokuwa yanaendelea kila dakika kutoka hapa USA River stay tuned usitoke

Hivi humu JF kuna magambazi, au unataka kupima upepo watu waongee vipi? acha hizo dogo. Hata propaganda haziko hivyo
 
hata mi ningekuwepo ningekuja kuburudika na bongo fleva na ukizingatia ubwabwa upo ningebeba na marafiki zangu baada ya hapo chademaaaaaaa


hiyo ni tamaa au unawapelekea waumini kanisani kwenye ibada,yesu na maria
 
JF ni ya CHADEMA ndio maana iko biased.matukio yasiyoihusu chaga devp manifesto lazima yaharibiwe na kuchafuliwa kama hili hapa
kitambi kwa akina mama hairuhusiwi..............ubwabwa huu mbaya sana!!\

attachment.php
 
saa 10 kamili TBC 1 Itarusha live sogeeni karibu na TV Now


Nilifikiri haupo kumbe bado. Mkuu ukiweka picha hapa ndo tutaamini zaidi ya update za maneno!
Unajua picha huongea mengi bila kuhitaji nguvu nyingi ku-prove.
Tupia basi badala ya hizo update zako, otherwise basi tulia tu.
 
Ile kauli ya CCM na Pesa Chadema na Mungu imekaa je?? Mguuu Pandeeeeeeeee....Sisiemu wajanga kwenye pesa migamba imewaganda....Mtadoda
 
hiyo ni tamaa au unawapelekea waumini kanisani kwenye ibada,yesu na maria
Huwa mnaaza mambo yenu ya kipumbavu namna hii halafu baadae mnakuja kulalamika mnaonewa na MODS...
wee endelea tu!! nakuangalia kwa karibu sana wewe!!
:lock1::lock1:
 
Yani mpaka raha kweli CCM inatisha na itashinda kwa kishindo kama alivyosema Mwigulu Nchemba,hongera sana wana CCM kwa mshikamano na umoja mlio nao kweli umoja ni nguvu na utengano ni dhaifu,watu wanashangilia CCM! CCM! CCM!
 
Back
Top Bottom